Nachukiwa na bosi wangu bila sababu

Usifanye KAZI zake, Fanya zile zilizo kwenye job descriptions zako tu.
 
Ni kwamba hamna sababu, it's just happen to be like that
Una mungu anakulinda ambaye anaharibu mambo yake sasa ukijichanganya kwenda kwa mganga nndo umejikamatisha na utaharibikiwa ambayo hujawahi ona
( Naongea kwa uzoefu niliopitia kama wako mwisho wa siku alishndwa kuvumilia akaropoka naharibu mambo yake SALI SANA/DUA)
 
Rule za ofisini/sehemu upatayo riziki
1: hakuna anaekupenda daima jua hivyo waliowengi wapo kwa ajili ya kujua maisha yako ililikitokea llte wapate pakukupata.
2.Limit what you have kwao kuvijua if possible hata familia yako Wasiijue.
3. Chapa kazi mpk wafitini waone aibu muda wako ukiisha sepa home, don’t talk too much bali waonyeshe kwa vitendo.
4.wekeza nje ya kazi means kipato chako kiwe mtaji wa maisha mengine nje ya kazi maana yake ufanye kazi km ndio cku yako ya mwisho.
 
Inaonekana una jeuri sana!! Some time jifunze kunyenyekea inapobidi ili uende sawa na mabosi. Unyenyekevu ni siraha kubwa sana makazini kwetu, sema vijana wa sasa hivi tunaona kujishusha dhalau"umimi mwingi"

By the way! Unapofika kazini timiza wajibu wako ipasavyo hayo mambo mengine ya kuchukiwa au kupendwa mwachie mwenyewe atajijua huko na mungu wake
 
Fanya kazi angalia maisha yako, acha kumfikiria atajiona fala
 
Mwambie mungu ampe adhabu kali yeyote anaekuchukia bila sababu za msingi utaona boss wako atakavyochezea bakora za kutosha kutoka kwa mungu.
 
Pole vita hiyo huwa sio rahisi. Usilogwe uende Kwa waganga utapoteza msaada wa Mungu. Utasota sana. Relax, endelea na kazi . Focus kwenye kuongeza ujuzi na ustadi. Punguza kujitetea na chagua kubaki kimyaa kwenye vikao. Ni nyota Yako inatafutwa kuzimwa. Ukivuka hapo Kuna daraja utapanda.
 
Napokea maneno haya ya Faraja na nitayafanyia kazi
 
Ukiona hujafukuzwa kazi baada ya hiyo miaka mingi ujue watu wanampuuza huyo bosi na wewe mpuuze chapa kazi.
 
Hao mabosi mara nyingi huwa ni WACHAWI KONKI / MATRIX ROBOTS / MATRIX HOLOGRAMS na kuna kitu kikubwa amekiona au amekihisi kutoka kwako kinamtaabisha.

Mimi nilienda mahali yule bosi akawa hajiamini muda wote, anafoka kama nguruwe anasema NIMETUMWA KUMPELELEZA NA KUMFANYIA UMAFIA.

Kumbe mie walaa, na komwe langu lililojaa unyenyekevu mkubwa sikumjibu, nikawa namuangalia tu anavyohaha nikasema HIIIIIIIIIIIIIII.....

CC Lamomy Extrovert fundi bishoo DR Mambo Jambo cocastic mshamba_hachekwi dronedrake adriz Mufti kuku The Infinity
 
Maboss wanapenda kunyenyekewa, kujipendekeza kwao na uchawa. Fanya hivyo
Baada ya kusoma na kuhitimu chuo na kupata kazi, huwa bado kuna kipengele kingine tena, cha kumchekea chekea Boss.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…