Nachukiwa na bosi wangu bila sababu

Maboss wanapenda kunyenyekewa, kujipendekeza kwao na uchawa. Fanya hivyo
Baada ya kusoma na kuhitimu chuo na kupata kazi, huwa bado kuna kipengele kingine tena, cha kumchekea chekea Boss.
Mabosi wengine wanaweza kutambua kama unawaigizia.

Mimi nilijaribu ikafeli, kila nikimchekea naona kabisa midomo haitanuki ipasavyo, nakuwa kama roboti, halafu komwe pia linagoma kutoa ushirikiano unakuta unakenua huku komwe limekunja ndita za hasira. HUO NI MPISHANO.

Na ndo vile tena bosi akigundua unamchezea akili anakunyuka MIJELEDI YA KIKAZI, anakufanyia visa na vituko vya kushtukiza.

Lakini mie yule nilimshinda, alitoroka ofisi akakimbia.

Cc Lamomy Extrovert
 
Mie maboss naenda nao sambamba, akipiga kiwiko mie napiga ugoko. Hakuna unyonge.

Tunanyukana virungu kweRi kweRi mpaka bosi anatoroka ofisi.

Yanii ni TIIIII, PAAAAH, TIIIIII, PAAAAAH, mwendo wa back to back, bampa to bampa.

Na akijaribu kuniroga atakufa mdomo wazi huku anamwaga udenda. Mie NIMEAGA KWETU.

Ebooh!!

cc Lamomy Extrovert cocastic
 
Huo ni woga Kwann ujinyenyekee hivyo?
 
Hiyo
Hiyo ndio best solution
 
Acha uboya.
Kuwa chawa wake.
If you can't beat him, join him.
 
Mwambie mungu ampe adhabu kali yeyote anaekuchukia bila sababu za msingi utaona boss wako atakavyochezea bakora za kutosha kutoka kwa mungu.
Juzi ilibaki kidogo tu nimkate makofi sio hata boss kimbelembele tu.
Ikabidi akimbie maana aliona kinachofata ni kupigwa.
Mtu yuko section ingine anaingilia kazi zangu.
Mzungu huyo,hayo mambo yapo tu kila mahali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…