Kiboko.
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 2,891
- 1,214
Nnavojua mia ndugu zetu kina Halima,Juma,Abdul,Khamis na Zaituni waligoma kuwa Necta inawahujumu kwann matokeo yao ndo yanakuwa ya hovyo na shule zao so soln n kuweka namba tu kila mtu ajue jina lake na sio kuanza linganisha wapi na wapi wamevuna nn na nn.n hayo tu mkuuu
Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
