Sirari ni mpakani mwa Tz na Kenya, panafaa Sana kwa biashara, tatizo ni Wewe Kama kuchumbiwa tu umekimbilia kuropoka jf, iweje masuala ya ndoa? Nakuona Upo kimalaya laya sana Kamwehutaweza kuishi na mkuryaNimepata mwanaume aliye serious wa kunioa wa huko Musoma,Mkurya,ananiomba nimkubalie anioe na yupo tayari kufika kwa wazazi wangu akajitambulishe ili kuanza mchakato wa ndoa
Ila naombeni ushauri,tabia za wakurya zikoje na maisha ya huko Sirari Tarime yakoje
Jamani mi nimeomba tu,niwafaham vizuri,Mimi sio malaya kama unavyofikiriaSirari ni mpakani mwa Tz na Kenya, panafaa Sana kwa biashara, tatizo ni Wewe Kama kuchumbiwa tu umekimbilia kuropoka jf, iweje masuala ya ndoa? Nakuona Upo kimalaya laya sana Kamwehutaweza kuishi na mkurya
Kumbe!
Nimepata mwanaume aliye serious wa kunioa wa huko Musoma,Mkurya,ananiomba nimkubalie anioe na yupo tayari kufika kwa wazazi wangu akajitambulishe ili kuanza mchakato wa ndoa
Ila naombeni ushauri,tabia za wakurya zikoje na maisha ya huko Sirari Tarime yakoje
Hahahahahah!!!!!
Hahahaha
Subiri nifanye utafiti nijue wakurya wakoje