Nachumbiwa na mtu wa Musoma

Nachumbiwa na mtu wa Musoma

Nimepata mwanaume aliye serious wa kunioa wa huko Musoma,Mkurya,ananiomba nimkubalie anioe na yupo tayari kufika kwa wazazi wangu akajitambulishe ili kuanza mchakato wa ndoa
Ila naombeni ushauri,tabia za wakurya zikoje na maisha ya huko Sirari Tarime yakoje
Sirari ni mpakani mwa Tz na Kenya, panafaa Sana kwa biashara, tatizo ni Wewe Kama kuchumbiwa tu umekimbilia kuropoka jf, iweje masuala ya ndoa? Nakuona Upo kimalaya laya sana Kamwehutaweza kuishi na mkurya
 
Sirari ni mpakani mwa Tz na Kenya, panafaa Sana kwa biashara, tatizo ni Wewe Kama kuchumbiwa tu umekimbilia kuropoka jf, iweje masuala ya ndoa? Nakuona Upo kimalaya laya sana Kamwehutaweza kuishi na mkurya
Jamani mi nimeomba tu,niwafaham vizuri,Mimi sio malaya kama unavyofikiria
 
Na mimi niko serious naomba unikubalie nikuoe.
Nimepata mwanaume aliye serious wa kunioa wa huko Musoma,Mkurya,ananiomba nimkubalie anioe na yupo tayari kufika kwa wazazi wangu akajitambulishe ili kuanza mchakato wa ndoa

Ila naombeni ushauri,tabia za wakurya zikoje na maisha ya huko Sirari Tarime yakoje
 
Umeuliza kabila mchumba wako! We mwenyewe kabila gani ili twende sawa?
 
Back
Top Bottom