NACTE toeni matokeo ya mitihani wazazi wajiandae na wanafunzi wajue fate yao

NACTE toeni matokeo ya mitihani wazazi wajiandae na wanafunzi wajue fate yao

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Vyuo hivyo vya kati vinafunguliwa 9/10/2023. matokeo ya mitihani bado...yaani mwanafunzi aende chuoni halafu arudi nyumbani in case he/she is discontinued
Mzazi unajiandaa lini na ada?

Rutayugwa take note of this
 
Back
Top Bottom