DOKEZO Nadai Tsh. Milioni 440 kwa Mkandarasi wa SGR. Naomba Serikali inisaidie, napigwa danadana tangu Desemba 2022

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
kwani mtaji wangu niliowekeza hapo haunisaidii peke yangu, kuna Watanzania wenzangu wengi wanaofaidika kupitia ajira hiyo
Wewe pigania haki yako tu, utaeleweka. Sote tunajua hii aya ni ya kisiasa/uongo. Ukiacha Hayati Magufuli, Watanzania hatuna desturi ya kupambania haki za wengine.
 
Ngoja tuwatag waliyo karibu
Na mfumo FaizaFoxy Lucas mwashambwa
Watasaidia kukufikishia ujumbe

Ova
Unajuwa hapo kuna tatizo, tunalisikiliza upande mmoja tu.

Anasema hajalipwa toka mwaka jana, lakini cha kushangaza anasema bado gari zake zipo kazini.

Anafanyaje hiyo kazi bila malipo muda wote huo?

Mwamba ngoma huvutia kwake.
 
Unajuwa hapo kuna tatizo, gtunalisikiliza upande mmoja tu.

Anasema hajalipwa toka mwaka jana, lakini cha kushangaza anasema bado gari zake zipo kazini.

Anafanyaje hiyo kazi bila malipo muda wote huo?

Mwamba ngoma huvutia kwake.
Nahisi akiondoa gari zake kazini yeye ndio atakuwa amevunja mkataba isivyo halali na atakuwa amehalalisha kutolipwa haki yake.

Kuna walimu wa shule private unakuta anafundisha huku anaidai shule pesa nyingi tu. Ukimwambia kwanini usiache kazi, anakwambia nikiacha nitakuwa nimevunja mkataba na hivyo sitalipwa kwa mujibu wa mkataba tulioingia.
 
Unajuwa hapo kuna tatizo, gtunalisikiliza upande mmoja tu.

Anasema hajalipwa toka mwaka jana, lakini cha kushangaza anasema bado gari zake zipo kazini.

Anafanyaje hiyo kazi bila malipo muda wote huo?

Mwamba ngoma huvutia kwake.
Nami nimejiuliza swali hilo, kwa nini aendelee kuongeza deni wakati hilo dogo linawashinda? Hapo iko namna, logically its imposibble.
 
Mkandarasi wenu kafilisika na very unfortunately hata akilipwa na Serikali anaenda ku settle madeni yake huko Uturuki nyie anawatelekeza.

Kama hajawalipa Wafanyakazi wake salary Wala nssf ndio aje akulipe wewe?

Mkuu huyo mkandarasi wa mchongo aliletwa na wale Wazalendo na nyie Wazalendo mkaunga Juhudi ,wewe fanya kama.hiyo.kazi ni uzalendo wako kitaifa 🤪🤪🤪🤪

Pole
 
Mkiambiwa Dunia nzima Kuna mtikisiko WA DOL muwe mnaelewa,huko Uturuki Hali ni Tete.

Mkandarasi wa mchongo kafilisika akilipwa na Serikali anaenda kulipa Madeni Uturuki badala ya kulipa subcontractors na staff kazi iende.

Kuvunja mkataba mnaanza kesi Mahakamani ambazo haziishi Leo Wala kesho.

Kwa mazingira kama haya ni kuvumilia ,hii nayo ndio hasara ya kukimbilia mamiradi makubwa wakati Nchi ni maskini na Cha kuwafanya hatuna.
 
Unajuwa hapo kuna tatizo, gtunalisikiliza upande mmoja tu.

Anasema hajalipwa toka mwaka jana, lakini cha kushangaza anasema bado gari zake zipo kazini.

Anafanyaje hiyo kazi bila malipo muda wote huo?

Mwamba ngoma huvutia kwake.
Mali Kauli lakini anakuwa kakodishiwa na pia yeye amepewa kazi Kama fundi maana hapo vifaa vya kazi vipo yakiwemo magari yake ,Wafanyakazi wake na materials kutoka Kwa main contractor kazi atafanya ila kulipwa ndio inakuwaga mtoto.

Na Kwa jinsi ambavyo mkandarasi kafilisika bila shaka Serikali Kwa Sasa itakuwa na hofu ya kumpa pesa maana unaweza mlipa pesa au mkopesha akaenda kulipa Madeni Uturuki harafu nyie kazi inakwama.

Kule Mbeya Kuna mturuki mwingine amelipwa advance payments na Serikali lakini mwaka unaisha eti ameagiza mitambo 😁😁 wakati kbla ya kazi lazima uoneshe una mitambo Ili advance payments ikusaidiie kuanza kazi ya awali.
 
Unfortunately nasikia huyo mkandarasi kafilisika I smell hatari ya kutolipwa kabisa.

Nenda mahakamani mahakama ikupe order ya kushika mali za hiyo Kampuni kama fidia. Napo utahangaika kuzitafutia wateja which takes quite some time as well.
 
Mawakili Wasomi wamejaa kibao mtaani. Na hata humu jukwaani wapo wa kutosha tu. Wauzie hiyo kesi ili ulipwe hela yako, na fidia juu.
 
Huyo mkandarasi ana hali ngumu sana kiuchumi , na selikali inaweza kutafuta mkarasi mwingine , jambo lako lipo pagumj wahi mapema mahakama inaweza kuamuru kushikia mali za makandarasi mpaka akulipe
Ndio maana nimekwambia hata Mimi kwamba waungane waende Mahakamani washike Mali zake vinginevyo akisepa kuja kupata Haki ni ishu.

Nadhani Serikali inachotaka kufanya ni watafute mkandarasi wa kumuizia hiyo kazi badala ya Yapi maana keshafilisika.
 
Inabidi wapeleke malalamiko yao kwa ngazi za kisheria. Watalipwa tu. Wasisubiri, makampuni kushitakiwa malipo ni kitu cha kawaida, unaweza kuwa na kesi nao mahakamani na huku wanakupa kazi zingine.
 
Pole sana mkuu, sio wewe pekee mwenye muda mrefu haujalipwa na wapo wengine wenye gari kama zako hapo hapo manyoni na itigi hawajalipwa muda mrefu wengine wamesimamisha gari kufanya kazi, japo zipo eneo la mradi, na hili la sasa la kupunguza wafanyakazi kwa njia ya likizo ya miezi mitatu isiyo na malipo bado ni kitendawili kwa wadai wote wa kampuni hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…