Nadandia kwa mbele hoja ya Rais kuhusu bima ya afya kuwekeza kwenye viwanda vya madawa

Usipoona wewe wataona wengine. Sijaona hoja ya maana kwenye bandiko !! Kwamba NHIF ikopeshe sekta binafsi ili wakajenge viwanda cha dawa?? Hamjui misingi ya social security protection.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…