Nadhani hizi ndizo sababu za ukatili kutoka kwa wadada wa kazi , Tuwaelewe na tuwasaidie

Nadhani hizi ndizo sababu za ukatili kutoka kwa wadada wa kazi , Tuwaelewe na tuwasaidie

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Hebu tulia kama dakika tatu fikiri kwamba una binti yako ambae kiumri bado ana hitaji malezi kutoka kwako unamtoa kwenda kufanya kazi za ndani kwenye familia nyingine .

Nadhani kuna ugumu fulani labda kuwe na sababu inayo kulazimu kama hasa hali mbaya ya kimaisha/kiuchumi .

Sasa uwaze unachukua binti wa kazi ambae bado anahitaji malezi kutoka kwa wazazi , kutoka maisha magumu na mzazi wake anahitaji pesa sio kumuona kakimbia kazi kurudi nyumbani.

hivyo hizi nadhani ndizo sababu kuu zinafanya kumekuwa na matukio ya kikatili kutoka kwa hawa wadada wa kazi .

1. Shida ya Afya ya akili , kutokana na maisha na mazingira ya awali yameharibu afya ya akili ya mtoto/binti husika

2.Unyanyasaji kutoka kwa wenye nyumba - haya pia yanaweza leta Changamoto ya afya ya akili
>Inaweza kuwa mzigo wa kazi mkubwa sana

>Malipo hakuna au madogo sana kulingana na kazi


>Migogoro inayo husiana na mahusiano ya kimapenzi na baba wenye nyumba


Nadhani kabla hujamchukua mtoto yeyote ni lazima umjue vizuri na utambue bado anahitaji malezi ya familia hivyo usimchukulie kama mfanyakazi .

Soma pia UMAKINI KATIKA KUISHI NA DADA WA KAZI MAJUMBANI KWETU.
 
3b8f7596-2dea-4e5b-8160-21526da02bf9.jpg
 

Kuna ujumbe hapa pia
 
Wadada wa kazi wapo tang enzi za Ibrahim. Wanapaswa kufanywa kama sehemu ya Familia. Mates yote wa awake wanaowapa Wadada wa kazi wajue huishia kwa watoto wao.

Wakinamama/Dada wapendeni Wadada wa kazi. Nimeona mama mmoja yaani anamlaumu Dada wa kazi kosa am alp ndugu yake anaishi naye analifanya mara Mia zaidi. Ila ndugu anasema avumiliwe Dada wa kazi anadai hapana. Hii roho mbaya Sana.

Pia Dada asiadhibiwe mbele ya watoto. Watamdharau na yeye ananjia nyingi ya kutafuta heshima hasa mkiwa hampo.
 
Hebu tulia kama dakika tatu fikiri kwamba una binti yako ambae kiumri bado ana hitaji malezi kutoka kwako unamtoa kwenda kufanya kazi za ndani kwenye familia nyingine .

Nadhani kuna ugumu fulani labda kuwe na sababu inayo kulazimu kama hasa hali mbaya ya kimaisha/kiuchumi .

Sasa uwaze unachukua binti wa kazi ambae bado anahitaji malezi kutoka kwa wazazi , kutoka maisha magumu na mzazi wake anahitaji pesa sio kumuona kakimbia kazi kurudi nyumbani.

hivyo hizi nadhani ndizo sababu kuu zinafanya kumekuwa na matukio ya kikatili kutoka kwa hawa wadada wa kazi .

1. Shida ya Afya ya akili , kutokana na maisha na mazingira ya awali yameharibu afya ya akili ya mtoto/binti husika

2.Unyanyasaji kutoka kwa wenye nyumba - haya pia yanaweza leta Changamoto ya afya ya akili













Nadhani kabla hujamchukua mtoto yeyote ni lazima umjue vizuri na utambue bado anahitaji malezi ya familia hivyo usimchukulie kama mfanyakazi .

Soma pia UMAKINI KATIKA KUISHI NA DADA WA KAZI MAJUMBANI KWETU.
Sana sana nadhani ni unyanyasaji toka kwa wenyewe nyumba
 
Wadada wa kazi wapo tang enzi za Ibrahim. Wanapaswa kufanywa kama sehemu ya Familia. Mates yote wa awake wanaowapa Wadada wa kazi wajue huishia kwa watoto wao.

Wakinamama/Dada wapendeni Wadada wa kazi. Nimeona mama mmoja yaani anamlaumu Dada wa kazi kosa am alp ndugu yake anaishi naye analifanya mara Mia zaidi. Ila ndugu anasema avumiliwe Dada wa kazi anadai hapana. Hii roho mbaya Sana.

Pia Dada asiadhibiwe mbele ya watoto. Watamdharau na yeye ananjia nyingi ya kutafuta heshima hasa mkiwa hampo.
Ushawahi ishi na dada wa kazi ?
 
Back
Top Bottom