Nadhani jeshi la polisi mnakosea kukamata Bajaji na pikipiki; hawa Watu wanatafuta riziki walishe familia mnapanda chuki

Nadhani jeshi la polisi mnakosea kukamata Bajaji na pikipiki; hawa Watu wanatafuta riziki walishe familia mnapanda chuki

Jeshi la polisi KAZI mnayofanya Sasa hivi inatia kichefuchefu hasa Kwa mtu anayetambua ugumu wa maisha uliopo. Kukamata pikipiki na Bajaji Katika Hali hii ya ukata nikudhibiti Watu wasitafute riziki.

Mmewanyima vijana ajira ya pikipiki na Bajaji matokeo yake wizi umeshamiri Kwa Kasi kubwa Sana. Lakini tujiulize hizo pikipiki na Bajaji Zina makosa Gani?

Jaribuni kufanya analysis maisha ni magumu sana, msiwasukume vijana kugeuka wezi wakati wameshajiajiri. Tumieni busara, Kama ambavyo mnalipwa mshahara na hautoshi ndivyo hata wengine wanavyoteseka.
Lazima taratibu zote zifuatwe

Riziki haitafutwi nje ya utaratibu
 
Watu wa bajaji napikipiki ni vilaza wanatumia makalio kufanya maamuzi barabarani. Wanasababisha ajali na hasara kwa wamiliki wa vyombo. Ni mamaku wakubwa.
 
Jeshi la polisi KAZI mnayofanya Sasa hivi inatia kichefuchefu hasa Kwa mtu anayetambua ugumu wa maisha uliopo. Kukamata pikipiki na Bajaji Katika Hali hii ya ukata nikudhibiti Watu wasitafute riziki.

Mmewanyima vijana ajira ya pikipiki na Bajaji matokeo yake wizi umeshamiri Kwa Kasi kubwa Sana. Lakini tujiulize hizo pikipiki na Bajaji Zina makosa Gani?

Jaribuni kufanya analysis maisha ni magumu sana, msiwasukume vijana kugeuka wezi wakati wameshajiajiri. Tumieni busara, Kama ambavyo mnalipwa mshahara na hautoshi ndivyo hata wengine wanavyoteseka.
Wiki iliyopita Posta kuna muhindi jamaa kaporwa Ml 20 alikuwa katoka Bank.. na jamaa wawili walikuwa kwenye Boxer wote walikuwa na bastola mkononi, mchana kweupe kabisa
 
Unawatafutia huruma boda wajeuri kwa wananchi..kulisha familia isiwe excuse ya makundi ktk jamii kukiuka sheria zilizopo.na ndio maana ikawepo serikali..hebu chukua tu mfano mdogo; trafiki wakisema wajiweke kando kwny njia za michepuko (roundbout) na kuacha magari na bodaboda wajiongoze, unafikiri patapitika hapo!
Bodaboda na bajaji hawana nidhamu kabisa wanapokuwa barabarani: Ukweli ni kwamba Polisi wanawastahi Sana.

Polisi wangekuwa wanachukua hatua stahiki, ni asilimia 25 tu ya bajaji na bodaboda ndiyo wangebaki barabarani.
 
Acha polisi wafanye kazi yao. Unakuta dereva bodaboda anaendesha kavaa ndala, pikipiki haina bima, element hajavaa, Bado akikamatwa utasema kaonewa?
Naongezea Mkuu, haina plate number, haina sight mirror, haina taa ya breki, haina indicator, daaah! nk.
 
Back
Top Bottom