Lazima taratibu zote zifuatweJeshi la polisi KAZI mnayofanya Sasa hivi inatia kichefuchefu hasa Kwa mtu anayetambua ugumu wa maisha uliopo. Kukamata pikipiki na Bajaji Katika Hali hii ya ukata nikudhibiti Watu wasitafute riziki.
Mmewanyima vijana ajira ya pikipiki na Bajaji matokeo yake wizi umeshamiri Kwa Kasi kubwa Sana. Lakini tujiulize hizo pikipiki na Bajaji Zina makosa Gani?
Jaribuni kufanya analysis maisha ni magumu sana, msiwasukume vijana kugeuka wezi wakati wameshajiajiri. Tumieni busara, Kama ambavyo mnalipwa mshahara na hautoshi ndivyo hata wengine wanavyoteseka.
Wiki iliyopita Posta kuna muhindi jamaa kaporwa Ml 20 alikuwa katoka Bank.. na jamaa wawili walikuwa kwenye Boxer wote walikuwa na bastola mkononi, mchana kweupe kabisaJeshi la polisi KAZI mnayofanya Sasa hivi inatia kichefuchefu hasa Kwa mtu anayetambua ugumu wa maisha uliopo. Kukamata pikipiki na Bajaji Katika Hali hii ya ukata nikudhibiti Watu wasitafute riziki.
Mmewanyima vijana ajira ya pikipiki na Bajaji matokeo yake wizi umeshamiri Kwa Kasi kubwa Sana. Lakini tujiulize hizo pikipiki na Bajaji Zina makosa Gani?
Jaribuni kufanya analysis maisha ni magumu sana, msiwasukume vijana kugeuka wezi wakati wameshajiajiri. Tumieni busara, Kama ambavyo mnalipwa mshahara na hautoshi ndivyo hata wengine wanavyoteseka.
Bodaboda na bajaji hawana nidhamu kabisa wanapokuwa barabarani: Ukweli ni kwamba Polisi wanawastahi Sana.Unawatafutia huruma boda wajeuri kwa wananchi..kulisha familia isiwe excuse ya makundi ktk jamii kukiuka sheria zilizopo.na ndio maana ikawepo serikali..hebu chukua tu mfano mdogo; trafiki wakisema wajiweke kando kwny njia za michepuko (roundbout) na kuacha magari na bodaboda wajiongoze, unafikiri patapitika hapo!
Naongezea Mkuu, haina plate number, haina sight mirror, haina taa ya breki, haina indicator, daaah! nk.Acha polisi wafanye kazi yao. Unakuta dereva bodaboda anaendesha kavaa ndala, pikipiki haina bima, element hajavaa, Bado akikamatwa utasema kaonewa?