Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Nani atakuachia uwe mwenyekiti wa CHADEMA ?Kuongea ukiwa nje ni rahisi sana. Ukiambiwa Leo uwe mwenyekiti wa CHADEMA kwa siku mbili ndio utajua ugumu wa hiyo kazi.
Mwambie kama anaweza kuiongoza familia ya watu 7Kuongea ukiwa nje ni rahisi sana. Ukiambiwa Leo uwe mwenyekiti wa CHADEMA kwa siku mbili ndio utajua ugumu wa hiyo kazi.
Atakuta Hela zote Mbowe amezikwangua. AtajutaKuongea ukiwa nje ni rahisi sana. Ukiambiwa Leo uwe mwenyekiti wa CHADEMA kwa siku mbili ndio utajua ugumu wa hiyo kazi.
Mbowe anawahangaisha sana!!Atakuta Hela zote Mbowe amezikwangua. Atajuta
sasa mnyika ana nguvu gani hapo ya maamuzi ?Yaani naona Mbowe anawatia wazimu sana. Imekuwaje mabandiko ya kumshambulia yanakuja dabalidabali??
Lissu na Mnyika ni CHADEMA ila wakitoka na kuunda chama kingine eti ndiyo wataweza kuitoa CCM madarakani.
Kwa nini watoke CHADEMA???
Mbatia yupi, yule aliywaidiwa ubunge na magufuli navgakuupata?Kiuhalisia ukitoa wana harakati kama kina Mdude ,Mwabugusi na wengine wachache nchi inabaki na watu wachache sana ambao ambao wazalendo wa kweli na mioyo yao kila siku hunena mema kuhusu Tanzania .
Lisu , Mbatia na Mnyika ni moja ya watu makini sana na wazalendo Tatizo hawana nguvu za kichama , siku wakiungana tukapata chama hapa hata mimi ntawaunga mkono .
CCM kwa namna yoyote ile ni ya kutoka madarakani ila huwezi toa CCM na kuweka CHADEMA au ACT za leo hizi labda yatokee mabadiliko makubwa sana ya kiongozi .
Yaani Katibu Mkuu hana nguvu ya maamuzi...??sasa mnyika ana nguvu gani hapo ya maamuzi ?
Vyama pinzani viko vingi lakini vyote hoi bin taaban!Kiuhalisia ukitoa wana harakati kama kina Mdude ,Mwabugusi na wengine wachache nchi inabaki na watu wachache sana ambao ambao wazalendo wa kweli na mioyo yao kila siku hunena mema kuhusu Tanzania .
Lisu , Mbatia na Mnyika ni moja ya watu makini sana na wazalendo Tatizo hawana nguvu za kichama , siku wakiungana tukapata chama hapa hata mimi ntawaunga mkono .
CCM kwa namna yoyote ile ni ya kutoka madarakani ila huwezi toa CCM na kuweka CHADEMA au ACT za leo hizi labda yatokee mabadiliko makubwa sana ya kiongozi .
CCM ndiyo Iko hoi imeshindwa kuongoza nchi.Vyama pinzani viko vingi lakini vyote hoi bin taaban!
Kiuhalisia ukitoa wana harakati kama kina Mdude ,Mwabugusi na wengine wachache nchi inabaki na watu wachache sana ambao ambao wazalendo wa kweli na mioyo yao kila siku hunena mema kuhusu Tanzania .
Lisu , Mbatia na Mnyika ni moja ya watu makini sana na wazalendo Tatizo hawana nguvu za kichama , siku wakiungana tukapata chama hapa hata mimi ntawaunga mkono .
CCM kwa namna yoyote ile ni ya kutoka madarakani ila huwezi toa CCM na kuweka CHADEMA au ACT za leo hizi labda yatokee mabadiliko makubwa sana ya kiongozi .
Ni kweli kabisa, maana kutokuwa hoi ni kupata mbeleko ya vyombo vya Dola.Vyama pinzani viko vingi lakini vyote hoi bin taaban!
aiseeYaani Katibu Mkuu hana nguvu ya maamuzi...??
Aisee!!
Kwanini wewe usianzishe chama chako?Kiuhalisia ukitoa wana harakati kama kina Mdude ,Mwabugusi na wengine wachache nchi inabaki na watu wachache sana ambao ambao wazalendo wa kweli na mioyo yao kila siku hunena mema kuhusu Tanzania .
Lisu , Mbatia na Mnyika ni moja ya watu makini sana na wazalendo Tatizo hawana nguvu za kichama , siku wakiungana tukapata chama hapa hata mimi ntawaunga mkono .
CCM kwa namna yoyote ile ni ya kutoka madarakani ila huwezi toa CCM na kuweka CHADEMA au ACT za leo hizi labda yatokee mabadiliko makubwa sana ya kiongozi .
Nani atakuachia uwe mwenyekiti wa CHADEMA ?