Nadhani kama Mbatia ,Mnyika na Lissu wataunda Chama basi hiki ndicho kitakuwa Chama halisi cha Upinzani

Nadhani kama Mbatia ,Mnyika na Lissu wataunda Chama basi hiki ndicho kitakuwa Chama halisi cha Upinzani

The Late Mawazo (R.I.P), the Late Filikunjombe(R.I.P), the late Mohamed Mtoi (R.I.P) and the likes could had formed the competitive political party.
 
Kiuhalisia ukitoa wana harakati kama kina Mdude ,Mwabugusi na wengine wachache nchi inabaki na watu wachache sana ambao ambao wazalendo wa kweli na mioyo yao kila siku hunena mema kuhusu Tanzania .

Lisu , Mbatia na Mnyika ni moja ya watu makini sana na wazalendo Tatizo hawana nguvu za kichama , siku wakiungana tukapata chama hapa hata mimi ntawaunga mkono .

CCM kwa namna yoyote ile ni ya kutoka madarakani ila huwezi toa CCM na kuweka CHADEMA au ACT za leo hizi labda yatokee mabadiliko makubwa sana ya kiongozi .
Wana hela? Nani atakuja kwenye chama Cha njaa?
 
Kiuhalisia ukitoa wana harakati kama kina Mdude ,Mwabugusi na wengine wachache nchi inabaki na watu wachache sana ambao ambao wazalendo wa kweli na mioyo yao kila siku hunena mema kuhusu Tanzania .

Lisu , Mbatia na Mnyika ni moja ya watu makini sana na wazalendo Tatizo hawana nguvu za kichama , siku wakiungana tukapata chama hapa hata mimi ntawaunga mkono .

CCM kwa namna yoyote ile ni ya kutoka madarakani ila huwezi toa CCM na kuweka CHADEMA au ACT za leo hizi labda yatokee mabadiliko makubwa sana ya kiongozi .
Wishful thinking za kijinga hizi.
 
Back
Top Bottom