Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Hbari yako, naweza kutambua jinsia yako, mimi ni Afisa wa Nida
 
Yaani hii akiona Kiranga kama yupo TZ anakutoa out,kama yupo mtoni world remit inakuhusu
 
Pridah Anashindwa kumfundisha mtoto anachoamini kwa kuwa hana uhakika moja kwa moja kama Sir God hayupo,yupo 50 ,50
 
Pridah Anashindwa kumfundisha mtoto anachoamini kwa kuwa hana uhakika moja kwa moja kama Sir God hayupo,yupo 50 ,50
Basi ukiangalia, deep down Pridah Siyo atheist /anajua fika kuwa asingependa mwanae awe atheist. Kwa sababu hiyo Pridah ashughulikie imani yake ili awe na uhakika aidha moto au baridi na amfundishe mwanae anachokiamini. Siku mtoto akikua atatenganisha mbivu na mbichi, ataona alimdanganya.
 
Mtoa mada Hana hata akili, eti anaamini anakuna Mungu, nguvu za kupumua au kuandika unazitoa wapi!? Yaani nimekudharau Sana, huna heshima wala akili kabisa, moods,, futeni huu uzi unajaza server bure, umeshakula maharage sijui ya wapi, unasema eti hakuna Mungu, kweli matahira ni wengi.
 
Ungesema tu hapa hayo madini mkuu wajifunze wengi
 
Dada Pridah sijaona ubaya wowote kutoka kwako, nimependa Life style yako..
Happy to see baadhi ya vitu tuna-match
Also I’m atheist niko hivyo but church nahudumu vizuri na misa zote nashiriki.
 
Nilichowaza na ulichoandika ni tofaut kabisa
Ebu badili kichwa ya habar bhn inaleta hamu ya kusoma dhambi alafu unakutana upendo Mara upako
 
Dada Pridah sijaona ubaya wowote kutoka kwako, nimependa Life style yako..
Happy to see baadhi ya vitu tuna-match
Also I’m atheist niko hivyo but church nahudumu vizuri na misa zote nashiriki.
Asante mtumishi.🙏🏼
Sio wote wako church ni vipofu,sio wote utawafanya mazombie uwaambie kula majani,funga hadi ufe au uwaombee kwa kiwachapa fimbo wakubali.
Hongera mkuu
 
Nilichowaza na ulichoandika ni tofaut kabisa
Ebu badili kichwa ya habar bhn inaleta hamu ya kusoma dhambi alafu unakutana upendo Mara upako
Ulitegemea kukuta connection mkuu?😀
 
Hio sifa mbaya iko wapi? Nimekuja mbio nione mwenye sifa mbaya nakuta stori za maisha ya kila siku. Sisi wengine tunapenda sifa mbaya. Moderators badilisheni kichwa cha hii thread
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…