Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Ila hiyo shati ya UPINDE UNAZINGUA SANA MAMA MWINJILISTI
 
Interesting
 
Kuwa atheist si kitu kibaya na hata kuwa atheist ambaye ni kiongozi kanisani si kitu kibaya.

Unaweza kukuta hata Papa ni atheist aliyejua kuwa Mungu hayupo, hivyo ni lazima watu wafanye kazi ya Mungu.

Kwa sababu Mungu mwenyewe hayupo.

Nakuomba tutafutane ili tukafanye mazungumzo maalum kwenye kikundi cha ma atheists ambacho ni mahususi kuzungumzia mambo haya na kutoa ushauri kwa watu walio katika upande wetu wanaokutana na changamoto nyingi za kijamii na kisaikolojia.
 
Hivi kuna association ya atheists hapa tz kama kule kenya?

Au convention labda ya mara moja moja...
 
Umeona umetumia akili hapo mwenyewe?

🖕huu sio uongo tu bali ni udanganyifu
 
Unafanyeje kumfanya mtoto ajivunie uanaume wake ? Kwa kumnyoa panki?
 
Kupanga ni kuchagua..sema angalia usijechanganyikiwa....enjoy your life - tafuta mwenzako (mme) ..ndo mwenzako wa kudumu au ndugu - huo undugu unaolazimisha kwa watu achana nao..tafuta mwanaume - muenjoy life pamoja..karaha na raha ya kuishi na mtu ndo maisha yenyewe sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…