Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

😍😍
Wala usihangaike mkuu.
Haya maneno umeandika hapa mbona ni mazuri na yanatosha🙏🏼🙏🏼
Thanks sana
 
Sikuhukumu. Upo ulivyo kwa kuwa haujawahi kupendwa. Hii ni saikolojia ya kawaida kabisa isiyohusiana na uwepo wa Mungu ama kinyume chake.
 
Umeona umetumia akili hapo mwenyewe?

🖕huu sio uongo tu bali ni udanganyifu
Uongo na udanganyifu uko wapi?

Kama s9jatumia akiki, mimi kutoweza kutumia akiki nako ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote hayupo, angekuwepo, kila mtu angeweza kutumia akili.

Kama kweli nimekuwa muongo na mdanganyifu, uongo na udanganyifu kuwezekana nako ni ushahidi kwamba huyo Mungu hayupo.

Angekuwepo, uongo na udanganyifu usingewezekana.

Unaelewa hayo?
 
Mkuu Eroni sina la kusema zaidi ya asante kwa maneno ya dhahabu🙏🏼🙏🏼
 
Hauna kasoro ama dosari yoyote katika maamuzi yako.

Sema nini, uliathirika sana kisaikolojia kutokana na historia ya malezi yako.

Lakini M/Mungu huwa hakitupi kiumbe chake, ona sasa alivyokufadhili kwa neema na mara nyingi hutokea kwa watoto yatima ama wenye uhitaji waliotelekezwa na wazazi wao.

Mtukuze yeye kwani ndiye mpaji.

Mambo ya kusema sijui Mungu hayupo na vitu kama hivyo huwa ni kujifunga kifikra na kiakili.

Waza kwa mapana na marefu kidogo kidogo utaupata ukweli na utamrudia Mungu wako.
 
Hivi kuna association ya atheists hapa tz kama kule kenya?

Au convention labda ya mara moja moja...
Ipo tunakutana mara nyingi, hata weekend hii tulikuwa na mkutano kuongelea mada zetu.

Asiyeamini au anayeamini mwenye shaka anayetaka kushiriki mazungumzo haya, hata kwa kusikiliza tu, anitafute PM.
 
Unafanyeje kumfanya mtoto ajivunie uanaume wake ? Kwa kumnyoa panki?
Sio kwa pank ila kama uko serious nitakuandikia maelezo mazuri badae kidogo🙏🏼
 
Aisee unaandika. Sasa kwanini unasema yote haya?
 
Asante kwa maoni🙏🏼
 
Kabisa na jamii inapaswa imkubali kila mtu alivyo bila kulazimishana wote tuwe na mitazamo sawa
Lakini hiyo kuficha historia yako kwa watu wako wa karibu ni kama inakunyima raha hivi, kama hutaki wakujue ni sawa huna haja ya kuumia nafsi, ama kudanganya story usizo nazo hiyo imepelekea wakianza kuzungumzia ndugu ujisikie unyonge, tatizo unalo wewe mwenyewe kabla ya watu wengine wote
 
Mimi nimesoma yoote kabisa mpaka mwisho. Ubarikiwe sana 🤝
 
Kusema ukweli we ishi maisha yako, i understand what you are feeling, kila mtu dunian yupo entitled kuish maisha anayotaka yeye, hakuna SI unit ya maisha duniani, if you are making money and you are getting that D the right way, you keep rolling, religious stuffs are like side hustle nowadays, keep grinding ma’ , drink that wine fwuck em life is too short and after we die we are done. Gone forever…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…