Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Just be You,
Tunaishi Maramoja.Kama unapata muda mzuri wa kukojozwa au kukojoa mwenyewe ile kutoa nyege na stress fresh tuu.Usimpe mtu moyo wako kifala fala

Ila kuna kitu dogo atakosa ambacho ni Baba hood.Lazima dogo ajue baba akirudi anaongeaje anahudumia vipi familia.
 
Yes
Yeah man!
YOLO
Asante kwa uelewa mkuuπŸ™πŸΌπŸ˜
 
Pole sana kwa uliyopitia, ila nafurahi kusikia kwamba kwa sasa upo na una furahi. Changamoto ni sehemu ya maisha. Napenda nijue umri wako kwa sasa na sehemu ulipo na ikiwezekana njoo DM tujuane vizuri tuweze kushauriana mambo ya hapa na pale.
 
πŸ™πŸΌπŸ™πŸΌ
Ni kweli kuhusu baba kurudi ila wana mahusiano ya karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…