Mke wangu hana mshipa wa aibu kabisa. Mwanamke huyu kwanza anaweza akajamba mbele yangu, leo asubuhi niko naoga bafuni kaja kachuchumaa akaanza kujisaidia haja kubwa mbele yangu.
Binafsi nimeshangaa sana kwa sababu anafanya some issues ambazo binafsi I can't do.
kuna hatari hapo baadae mnavyoendelea kuishi Upungufu wa akili huanza pole pole... muwahishe hospital yenye doctor specialist wamambo ya cycastric and psychiatry