lugabussa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 557
- 523
Kwa mm hata hamu ya kumnyandua sitokua nayo Tena ntakua na kinyaa nae tuMambo zenu wakuu?
Mke wangu hana mshipa wa aibu kabisa. Mwanamke huyu kwanza anaweza akajamba mbele yangu, leo asubuhi niko naoga bafuni kaja kachuchumaa akaanza kujisaidia haja kubwa mbele yangu.
Binafsi nimeshangaa sana kwa sababu anafanya some issues ambazo binafsi I can't do.