Nadhani mke wangu mshipa wa aibu ulishakatika

Nadhani mke wangu mshipa wa aibu ulishakatika

In animal kingdoms mnyama hua vulnerable muda anaoenda haja (iwe kubwa au ndogo) na wengine huifukia (Paka) kuifukia huashiria yeye siyo dominant eneo hilo na hataki kukutwa na dominant.

Mbwa hua hafukii kwakua anajua hata mwenye territory akija mmiliki wake yupo ili kumtetea.

But your woman does both? What does that tell you?

Anakuamini, anatarajia umlinde. Dunia yetu ilipo kumlinda mtu wako inajumuisha kuexpose (kwa njia ya kuuliza) info na vitu kama hivi. Nafikiri hata mchepuko wako ana taarifa nyingi za mkeo.
Dawa ni jamaa nae aanze kukojoa kitandani ili wote wafanye hiyo Dominant.

Maana ni upuuzi, maswala ya kutoa taka mwili hayatakiwi kuwa maswala ya hadhara bali ni faragha binafsi.

Kama yeye anataka uwazi basi aweke wazi mawasiliano yake na pesa zake anazopata hicho ndicho kipimo kizuri cha uaminifu na ukaribu. Sio unamuonyesha mtu taka mwili zako ili iwaje sasa.
 
Kujisaidia sio ajabu
Il mbele ya mwenzio ndo ajabu hasa haja kubwa..ndogo sio issue

mahaba gani kusikiza harufu mbaya?

wengine u flush as soon as u poop na kupuliza air freshener kabla mwenzio hajatumia...ni ustaarabu wa kibinadamu tu

unawezaje jisaidia mbele ya mtu?.!
Umezungumza vizuri sana
 
Mfunze tu staha hata kama mmekua mwili mmoja dah kujisaidia haja kubwa mhh hapana ujinga umepitiliza. Ila mbwa aliekuzoea sana utaingia nae msikitini
 
Mambo zenu wakuu?

Mke wangu hana mshipa wa aibu kabisa. Mwanamke huyu kwanza anaweza akajamba mbele yangu, leo asubuhi niko naoga bafuni kaja kachuchumaa akaanza kujisaidia haja kubwa mbele yangu.

Binafsi nimeshangaa sana kwa sababu anafanya some issues ambazo binafsi I can't do.
Ndugu, hiyo ni tabia ya wanawake wengi, hasa wanene. Atakuonea aibu na kujizuia kabla hajakuzoea. Akishakuzoea tu atafanya kila kitu kwa uhuru hata akijua fika linakukera.

Wangu pia yuko hivyo. Kujamba mbele yangu iwe kitandani au kitini haoni shida na ukijaribu kumkanya unaishia kupokea jibu litakalokera zaidi.

Wakati mwingine ndoa zina adha nyingi zaidi kuliko furaha!
 
Ndugu, hiyo ni tabia ya wanawake wengi, hasa wanene. Atakuonea aibu na kujizuia kabla hajakuzoea. Akishakuzoea tu atafanya kila kitu kwa uhuru hata akijua fika linakukera.

Wangu pia yuko hivyo. Kujamba mbele yangu iwe kitandani au kitini haoni shida na ukijaribu kumkanya unaishia kupokea jibu litakalokera zaidi.

Wakati mwingine ndoa zina adha nyingi zaidi kuliko furaha!
Unapanda kitandan uanzishe mengine mtu ana jamba ushuzi unanuka hadi hamu inakata .
 
Mambo zenu wakuu?

Mke wangu hana mshipa wa aibu kabisa. Mwanamke huyu kwanza anaweza akajamba mbele yangu, leo asubuhi niko naoga bafuni kaja kachuchumaa akaanza kujisaidia haja kubwa mbele yangu.

Binafsi nimeshangaa sana kwa sababu anafanya some issues ambazo binafsi I can't do.
Afya ya akili imeyumba hapo
 
Miswaki sio inshu mbona,watu kibao najua wana-share miswaki na kwa akili zao wanaona Ni poa tu.
Mhh haya endeleeni

Mi naona ni km vile kufatiliwa simu
Sina baya nnalofanya ila sipendi kufuatiliwa
Niamini kama nnavyokuamini
Hivyo tu
 
Back
Top Bottom