PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
[emoji106]Yaan katika mazoea ya kiboya ambayo siyapendi ndo hayo.Yaan moja ya sifa ya mwenza bora ni kuwa na staha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji106]Yaan katika mazoea ya kiboya ambayo siyapendi ndo hayo.Yaan moja ya sifa ya mwenza bora ni kuwa na staha
We tafadhali bwn haha.,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona sioni tatizo?
Sijaoa na sina hilo wazo kbs maishani mwangu kuja kuoa.We hujaoa mkuu?
Eti jomoniii bebe..inavyonoga kumjambia hubby tena ule wa sauti afu akigeuka kukuangalia unajifanya kama humuoni vilee... ndio kwanzaaaaa unajinyoosha😂😂Mbona kawaida tu hiyo mkuu asipofanya kwako akafanye kwa nani lazima ajiachie kwako
mbona anakufanyia mambo yanayohusu kinyeo tu itakuwa anawashwaMambo zenu wakuu?
Mke wangu hana mshipa wa aibu kabisa. Mwanamke huyu kwanza anaweza akajamba mbele yangu, leo asubuhi niko naoga bafuni kaja kachuchumaa akaanza kujisaidia haja kubwa mbele yangu.
Binafsi nimeshangaa sana kwa sababu anafanya some issues ambazo binafsi I can't do.
Likely a MENTAL ISSUE. This is not normal.Mambo zenu wakuu?
Mke wangu hana mshipa wa aibu kabisa. Mwanamke huyu kwanza anaweza akajamba mbele yangu, leo asubuhi niko naoga bafuni kaja kachuchumaa akaanza kujisaidia haja kubwa mbele yangu.
Binafsi nimeshangaa sana kwa sababu anafanya some issues ambazo binafsi I can't do.