Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Aah Standard Gauge nini nimepita[emoji23][emoji23]we umepotea njia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah Standard Gauge nini nimepita[emoji23][emoji23]we umepotea njia
Basi nadhani na yy Africa inamhusu piatunamjua mkuu
Ngoja kidogo ntaziweka hapa kaka mkubwadj tupia hizo audio
Uko serious au it is just a joke?sio Ivorian ni Ivory coastian 😃
Brenda fassie alipokuja bongo alifikia sea cliff hotel, wakati huo mm nlikuwa napiga Kazi pale ya kuwabebea wageni mizigoNi kweli Monica ni mkali lakini Brenda Fassie ndio malkia wa muziki barani Africa
[emoji23][emoji23] nini kilitokea?Brenda fassie alipokuja bongo alifikia sea cliff hotel, wakati huo mm nlikuwa napiga Kazi pale ya kuwabebea wageni mizigo
Kuna siku wakati anatoka hotel Kuna jamaa alimkimbilia kumuomba tip, Brenda akampa jamaa kipisi cha bangi mkononi.... [emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa kcheck mkononi alijua Hela kmbe bangi, dem alikuwa amepinda
Ulizaa kilichofuata??????
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Nikinglia mchongo tukamtafutia skanka tukampa[emoji23][emoji23] nini kilitokea?
Nadhani.. hujamsikia " Um Kulthoum wa Misri "Katika kuperuzi huku na kule youtube si nimekuatana na nyimbo za huyu anaitwa Monique Sekka, nilikuwa simjui, nadhani atakuwa mkongo huyu. Yaani hadi sasa kichwa kinauma baada ya kusikiliza 'Yaye demin' , 'Okaman' , 'Baye' , 'Missounwa' , 'Chilenku' , 'Adeba' , 'Amlan'
________________________________
IG: @marble_na_granite
sawa sawaBasi nadhani na yy Africa inamhusu pia
[emoji122] [emoji106]Ngoja kidogo ntaziweka hapa kaka mkubwa
✌️✌️sawa sawa
Okaman nausikiliza mpaka leo sijawahi uchoka kabisa.hatari sana huyu bi dada, nimeusikia wimbo wake (Okaman) , kumbe tayari ana uzi pande hizi
Wimbo balaa sana huuOkaman nausikiliza mpaka leo sijawahi uchoka kabisa.