Nadhani nilikosea kuoa binti niliemzidi sana umri

Kwa umri huo ulitakiwa uwe unaenda sambamba na yeye. Ukifikisha 45 my friend utakuwa huwezi lolote.
Kwa umri huo alitakiwa awe anamzidi mkewe huyo mwanamke akifika 30 huko itakuwaje sasa?
 
Tofauti ya umri ni ndogo sana ila mwamba atakuwa na shida mahali
 
1
Vijana wa hovyo wape namba wampelekeee motroo. Ila piga tizi sana mkuu na acha kula masoda haya mabia kwa sana. Fanya mazoezi huo ndio umri wa kumchakata mtoto mpaka aombe pooh
Mazoez ni zaidi ya utayali,,

Kukata upepo alfajiri ataweza?🤣
 
duu huyu umekutana nae ukiwa na miaka mingapi na yeye anamingapi,/
 
Usisikilize maswala ya kula vitunguu na karanga, hivyo vyote ni useless kama una mwili teketeke kama demu.

Haya ndio madhara ya kula chips na vitambi. Piga push at least 100 kila siku, squat 200 kutengeneza mapafu na pumzi, kula chakula cha kutosha na pia pata usingizi wa kutosha. Basda ya mwezi mwili utakuwa umeadapt then sikilizia kazi yake.

Destroy that pussycat, vunja na mgongo kabisa.
 
Nimempita huyu mwanamke 15yrs lakini Ana pigika haswa lishe muhimu sana achana Na junk food penda kula vyakula vya kustimulate mwili huoni mzee Wa 70 anaoa binti 25 Na binti anatulia kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…