Nadhani nimepata Changamoto labda kisaikolojia au kiafya. Napofanya tendo

Nadhani nimepata Changamoto labda kisaikolojia au kiafya. Napofanya tendo

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Wadau. Kama hili nalozungumza litakuumizal/litakuuma basi pole tu.

Ni miezi kama 4 sasa najikuta napofanya mapenzi na mtu kumaliza ni shida. Nakosa kuenjoy sababu inaweza fika hata saa zima.simalizi. so mwenzi anaomba twende mapumziko. Au nikimaliza goal la kwanza.

Round ya pili nitapata hamu mashine inasimama vizuri kabisa. But kumaliza inakuwa issue. Mara nyingi tunaishia kughairi. Maana sasa mwenza anakuwa amechoka, so tunaamua kuachia hapo. Mimi nabaki na maumivu sababu mashine inakuwa inauma. Ila sipati hisia za kumaliza. Najiuliza shida ni nini?

Sababu lengo la huu mchezo ni kufika mshindo kama mtu hufiki...inapoteza raha. Leo mwenzangu kamaliza mara 5. Mimi mara moja. Tena bao la kwanza nimelitafuta kwa almost dk 40.

Bao la pili tumejaribu two times mwenzangu anamaliza mimi simalizi. Mwishowe mtu anakwambia unafanya kumkomoa. Kitu ambacho siamini katika hicho. Napenda ku enjoy tendo na mwenzangu.

Huu ni mwezi wa nne sasa nimejaribu hata kubadilisha mwenza (kuchepuka) bado nakuwa vile vile. Namaliza bao la kwanza kwa kuvuta sana hisia. Na umalizaje wake hauwi kamilifu yaani kama nusu. Na mashine inabaki imesimama. Si enjoy kwa kweli.ile raha ya k mpaka unapata usingizi sina kwa kweli.

Sasa nmeona niweze share nanyi sababu nlikuwa naona nikisema hili wengine wanaweza kuja na hoja za kipuuzi. Sihitaji kujipigia debe kipuuzi/kipumbavu hivi. Nina maisha yangu ambayo yenyewe tu nayaamini.

Naombeni msaada. Je inaweza kuwa ni vyakula ,ugonjwa au tatizo la kisaikolojia. Nifanye nini? Ushauri please.
 
Mkuu, upo vizuri wala hata usiogope saana. Japo kuna ka tatizo kidogo kakisaikolojia.

Unatakiwa ui-tune akili yako iweze kutambua ni muda gani unatakiwa kufika kileleni na wapi sio muda sahihi.
 
images.jpeg
 
Sio ugonjwa piga kazi
But nashindwa kumaliza mchezo au namaliza lakini si kwa kishindo kikubwa sana. Ni kama namaliza nusu. (kipindi flani nlikuwa nafanya makusudi ili ku double click.yaani napomaliza simalizi yote then naendelea na bao jingine) but now sifanyi makusudi ni kwamba inatokea simalizi kuupata utamu wote..... Na hapo nakuwa nimetumia nguvu nyingi za akili kuvuta hisia....
 
Mkuu, upo vizuri wala hata usiogope saana. Japo kuna ka tatizo kidogo kakisaikolojia.

Unatakiwa ui-tune akili yako iweze kutambua ni muda gani unatakiwa kufika kileleni na wapi sio muda sahihi.
Hapo ndo changamoto. Yaani inakuwa kama napiga selfie...maana navuta hisia hata kwa mtu mwingine sometime najenga picha kama nafanya threesome ili nimalize. Inaumiza kichwa sana baada ya hapo.
 
Sio ugonjwa piga kazi
Tena afadhali dada ume comment kistaarabu sana. Unajua humu kumeharibika nowdays. Watoto wamekuwa wengi sana na hawana uelewa. Nashukuru.

Napata shida sababu wanawake wengi kiukweli si wapenzi wa kufanya mapenzi dk zaidi ya 10. Wengi wanamaliza mapema na wakimaliza mara mbili wanalalamika kuumia. So hapo siwezi endelea maana anakuwa amekauka.
 
Pengine vyakula na vinywaji unavyotumia.

Pia kujichua huchangia.
 
Ohoo.. kaa chonjo. Unaeza lalamika kwa kukaa mudarefu ukashangaa ghafla umeenda kule kwenye cha kuku. Tako 3 chali. Unarudi tena na uzi mwingine.
Tune your mind, concentrate na vitu zingine while u r at it. Ngono sio vita mura
 
Tena afadhali dada ume comment kistaarabu sana. Unajua humu kumeharibika nowdays. Watoto wamekuwa wengi sana na hawana uelewa. Nashukuru.

Napata shida sababu wanawake wengi kiukweli si wapenzi wa kufanya mapenzi dk zaidi ya 10. Wengi wanamaliza mapema na wakimaliza mara mbili wanalalamika kuumia. So hapo siwezi endelea maana anakuwa amekauka.
Mimi naona sio tatizo ni maumbile tu huenda vyakula unavyotumia ila jitahid usiunganishe round 😂 ukimaliza mara ya kwanza laleni then ya pili iwe asubuh mwili utakuwa umerelax vya kutosha nafikir jaribu hii
 
Mimi naona sio tatizo ni maumbile tu huenda vyakula unavyotumia ila jitahid usiunganishe round 😂 ukimaliza mara ya kwanza laleni then ya pili iwe asubuh mwili utakuwa umerelax vya kutosha nafikir jaribu hii
Lemme try this. Nashukuru sana. Maana sasa inakuwa changamoto. Mara nyingi mchezo una hairishwa nikiwa sijamaliza.
 
Pengine vyakula na vinywaji unavyotumia.

Pia kujichua huchangia.
Situmii pombe. Kipindi cha nyuma nlikuwa napiga selfie but nliacha. Je inaweza kuwa athari hii? But mashine inasimama mpaka mwisho...ila kumaliza ndo issue.
 
Ohoo.. kaa chonjo. Unaeza lalamika kwa kukaa mudarefu ukashangaa ghafla umeenda kule kwenye cha kuku. Tako 3 chali. Unarudi tena na uzi mwingine.
Tune your mind, concentrate na vitu zingine while u r at it. Ngono sio vita mura
Upo sahihi. Siyo vita ndo maana napenda nimalize isiwe kama namkomoa mhusika.natamani nikiafikia kusema nimalize then nimalize
 
nimushauri tu unaanza kupoteza nguvu za kiume yaani hizo dalili mtafute doc. muelezee alaf akupe ushaueri ila ukuendelea umapoteza nisikufiche. Jitahidi mazoezi lishe nzuri alaf piga kauzi zako utajikuta ukifanya tendo unakua kaenye hali ya tendo
 
Back
Top Bottom