Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Wadau. Kama hili nalozungumza litakuumizal/litakuuma basi pole tu.
Ni miezi kama 4 sasa najikuta napofanya mapenzi na mtu kumaliza ni shida. Nakosa kuenjoy sababu inaweza fika hata saa zima.simalizi. so mwenzi anaomba twende mapumziko. Au nikimaliza goal la kwanza.
Round ya pili nitapata hamu mashine inasimama vizuri kabisa. But kumaliza inakuwa issue. Mara nyingi tunaishia kughairi. Maana sasa mwenza anakuwa amechoka, so tunaamua kuachia hapo. Mimi nabaki na maumivu sababu mashine inakuwa inauma. Ila sipati hisia za kumaliza. Najiuliza shida ni nini?
Sababu lengo la huu mchezo ni kufika mshindo kama mtu hufiki...inapoteza raha. Leo mwenzangu kamaliza mara 5. Mimi mara moja. Tena bao la kwanza nimelitafuta kwa almost dk 40.
Bao la pili tumejaribu two times mwenzangu anamaliza mimi simalizi. Mwishowe mtu anakwambia unafanya kumkomoa. Kitu ambacho siamini katika hicho. Napenda ku enjoy tendo na mwenzangu.
Huu ni mwezi wa nne sasa nimejaribu hata kubadilisha mwenza (kuchepuka) bado nakuwa vile vile. Namaliza bao la kwanza kwa kuvuta sana hisia. Na umalizaje wake hauwi kamilifu yaani kama nusu. Na mashine inabaki imesimama. Si enjoy kwa kweli.ile raha ya k mpaka unapata usingizi sina kwa kweli.
Sasa nmeona niweze share nanyi sababu nlikuwa naona nikisema hili wengine wanaweza kuja na hoja za kipuuzi. Sihitaji kujipigia debe kipuuzi/kipumbavu hivi. Nina maisha yangu ambayo yenyewe tu nayaamini.
Naombeni msaada. Je inaweza kuwa ni vyakula ,ugonjwa au tatizo la kisaikolojia. Nifanye nini? Ushauri please.
Ni miezi kama 4 sasa najikuta napofanya mapenzi na mtu kumaliza ni shida. Nakosa kuenjoy sababu inaweza fika hata saa zima.simalizi. so mwenzi anaomba twende mapumziko. Au nikimaliza goal la kwanza.
Round ya pili nitapata hamu mashine inasimama vizuri kabisa. But kumaliza inakuwa issue. Mara nyingi tunaishia kughairi. Maana sasa mwenza anakuwa amechoka, so tunaamua kuachia hapo. Mimi nabaki na maumivu sababu mashine inakuwa inauma. Ila sipati hisia za kumaliza. Najiuliza shida ni nini?
Sababu lengo la huu mchezo ni kufika mshindo kama mtu hufiki...inapoteza raha. Leo mwenzangu kamaliza mara 5. Mimi mara moja. Tena bao la kwanza nimelitafuta kwa almost dk 40.
Bao la pili tumejaribu two times mwenzangu anamaliza mimi simalizi. Mwishowe mtu anakwambia unafanya kumkomoa. Kitu ambacho siamini katika hicho. Napenda ku enjoy tendo na mwenzangu.
Huu ni mwezi wa nne sasa nimejaribu hata kubadilisha mwenza (kuchepuka) bado nakuwa vile vile. Namaliza bao la kwanza kwa kuvuta sana hisia. Na umalizaje wake hauwi kamilifu yaani kama nusu. Na mashine inabaki imesimama. Si enjoy kwa kweli.ile raha ya k mpaka unapata usingizi sina kwa kweli.
Sasa nmeona niweze share nanyi sababu nlikuwa naona nikisema hili wengine wanaweza kuja na hoja za kipuuzi. Sihitaji kujipigia debe kipuuzi/kipumbavu hivi. Nina maisha yangu ambayo yenyewe tu nayaamini.
Naombeni msaada. Je inaweza kuwa ni vyakula ,ugonjwa au tatizo la kisaikolojia. Nifanye nini? Ushauri please.