Nadhani nimepata Changamoto labda kisaikolojia au kiafya. Napofanya tendo

Nadhani nimepata Changamoto labda kisaikolojia au kiafya. Napofanya tendo

Wadau. Kama hili nalozungumza litakuumizal/litakuuma basi pole tu.

Ni miezi kama 4 sasa najikuta napofanya mapenzi na mtu kumaliza ni shida. Nakosa kuenjoy sababu inaweza fika hata saa zima.simalizi. so mwenzi anaomba twende mapumziko. Au nikimaliza goal la kwanza.

Round ya pili nitapata hamu mashine inasimama vizuri kabisa. But kumaliza inakuwa issue. Mara nyingi tunaishia kughairi. Maana sasa mwenza anakuwa amechoka, so tunaamua kuachia hapo. Mimi nabaki na maumivu sababu mashine inakuwa inauma. Ila sipati hisia za kumaliza. Najiuliza shida ni nini?

Sababu lengo la huu mchezo ni kufika mshindo kama mtu hufiki...inapoteza raha. Leo mwenzangu kamaliza mara 5. Mimi mara moja. Tena bao la kwanza nimelitafuta kwa almost dk 40.

Bao la pili tumejaribu two times mwenzangu anamaliza mimi simalizi. Mwishowe mtu anakwambia unafanya kumkomoa. Kitu ambacho siamini katika hicho. Napenda ku enjoy tendo na mwenzangu.

Huu ni mwezi wa nne sasa nimejaribu hata kubadilisha mwenza (kuchepuka) bado nakuwa vile vile. Namaliza bao la kwanza kwa kuvuta sana hisia. Na umalizaje wake hauwi kamilifu yaani kama nusu. Na mashine inabaki imesimama. Si enjoy kwa kweli.ile raha ya **** mpaka unapata usingizi sina kwa kweli.

Sasa nmeona niweze share nanyi sababu nlikuwa naona nikisema hili wengine wanaweza kuja na hoja za kipuuzi. Sihitaji kujipigia debe kipuuzi/kipumbavu hivi. Nina maisha yangu ambayo yenyewe tu nayaamini.

Naombeni msaada. Je inaweza kuwa ni vyakula ,ugonjwa au tatizo la kisaikolojia. Nifanye nini? Ushauri please.
Hii iliwahi mtokea mume wangu mpaka nilianzisha timbwili nikimtuhumu kuwa na mwanamke mwingine
 
Una upungufu wa nguvu za kiume mkuu, nenda hospitali.

Raha ya tendo kwa Me ni kumwaga hata kama ni cha kuku.
 
Sababu lengo la huu mchezo ni kufika mshindo kama mtu hufiki...inapoteza raha. Leo mwenzangu kamaliza mara 5. Mimi mara moja. Tena bao la kwanza nimelitafuta kwa almost dk 40.
Mwanamke ni Mgumu sana kufika kileleni kuliko Mwanaume. hasa kuanzia Bao la 3+, Sasa umesema Mwanamke kafika Bao 5.. wewe ndio kwanza una Bao 1 ambalo umelipata ndan ya dk 40.

swali huyo mwanamke alikuwa anaenda Bao moja kila baada ya dakika 7?

Naomba niongezee kijiko kimoja cha Sukari..

Ahsante.
 
Unaweza kua ugongwa ama tatizo lakini sina uhakika nalo sana pengine ni hali ya kawaida maana hali kama io iliwahi nitokea na inakua kero balaa nilikuja kujua dk 10 mpaka 20 zinatosha kabisa kwa bao moja.

Nilipojichunguza sana chanzo ilikua kuzuia bao la kwanza kwa kutaka kukaa muda mrefu juu ya mwanamke, na ili nikae muda mrefu nakua nikitaka kumwaga natoa hisia kama sifanyi kitu hivyo nalizuia lisitoke.

La pili kufanya mazoezi ya kegeli, huo mtindo wa kukojoa huku unabana mkojo sekunde kadhaa tena unauachia ukiwa unarudia rudia mpaka uishe, hivyo basi ukiwa na pisi ikatokea unampelekea moto ghafla uume ukachomoka pale utakapo urudisha sahau kumwaga maana akili inakua umeizoesha kua hutaki kumwaga.

Jambo la tatu hii inaweza kua nyeto, nyeto ki vipi?. Tabia hii ukiwa na pisi yako bao la kwanza mnakua mnachezeana yeye anacheza na maiki io mpaka umwage nje kwanza ndio mnaanza mbilinge ya kuchimbua madini.

Au mwenyewe ulikua na tabia ya kujipiga selfie hivyo lazima ukiwa na mwanamke uvute sana hisia au uvutie hisia picha za ngono ulizo wahi ziangalia.

Hayo mambo matatu juu hapo baada ya kuachana nayo hali ilianza kurudi kawaida maana kabla kuna muda unapiga hata saa moja na nusu na bao halitoki au mpaka uvute hisia kwa pisi nyingine au picha za ngono na ukiwaeleza watu wanaona unawadanganya tu hawana msaada.
 
Mwanamke ni Mgumu sana kufika kileleni kuliko Mwanaume. hasa kuanzia Bao la 3+, Sasa umesema Mwanamke kafika Bao 5.. wewe ndio kwanza una Bao 1 ambalo umelipata ndan ya dk 40.

swali huyo mwanamke alikuwa anaenda Bao moja kila baada ya dakika 7?

Naomba niongezee kijiko kimoja cha Sukari..

Ahsante.
Pole sana. Ungekuwa na umri flani ungegundua. Mwanamke anaweza fika kileleni hata ndani ya dk 2. Provided ana hisia, anakupenda. Ile akili ya kudhani kupiga sana mashine ndo mwanamke anapenda ukiuliza wanawake ambao ni decent wa kawaida au si malaya watakwambia. Hata uume ukiwa urefu wa kidole wanafika kileleni tena ndani ya dk moja. Na anaweza fika tena na tena.

Mimi nakuambia kitu ambacho pia you can read toka kwa scholars mbalimbali. Kufika kileleni au kuwa na hamu ya mapenzi ni suala ambalo pia linahusisha akili,ufahamu au saikolojia. Mwanamke akiwa hayupo tayari hata ufanye naye mapenzi masaa 10 hafiki kileleni. Akiwa tayari ni dk tu.

Mfikie hatua muwe mnajifunza toka kwa wakubwa wenu na pia msome. Msidhani humu wote ni watoto au hawajaenda shule. Sisi tunatumia JF kwa nia ya kujifunza na tunachukua JF ni sehemu ambayo we can share mambo na kupeana Elimu. Huko uliko wewe mimi nlitoka miaka ya 90s. Wewe upo 2020s. We are two diffent people.
 
Unaweza kua ugongwa ama tatizo lakini sina uhakika nalo sana pengine ni hali ya kawaida maana hali kama io iliwahi nitokea na inakua kero balaa nilikuja kujua dk 10 mpaka 20 zinatosha kabisa kwa bao moja.

Nilipojichunguza sana chanzo ilikua kuzuia bao la kwanza kwa kutaka kukaa muda mrefu juu ya mwanamke, na ili nikae muda mrefu nakua nikitaka kumwaga natoa hisia kama sifanyi kitu hivyo nalizuia lisitoke.

La pili kufanya mazoezi ya kegeli, huo mtindo wa kukojoa huku unabana mkojo sekunde kadhaa tena unauachia ukiwa unarudia rudia mpaka uishe, hivyo basi ukiwa na pisi ikatokea unampelekea moto ghafla uume ukachomoka pale utakapo urudisha sahau kumwaga maana akili inakua umeizoesha kua hutaki kumwaga.

Jambo la tatu hii inaweza kua nyeto, nyeto ki vipi?. Tabia hii ukiwa na pisi yako bao la kwanza mnakua mnachezeana yeye anacheza na maiki io mpaka umwage nje kwanza ndio mnaanza mbilinge ya kuchimbua madini.

Au mwenyewe ulikua na tabia ya kujipiga selfie hivyo lazima ukiwa na mwanamke uvute sana hisia au uvutie hisia picha za ngono ulizo wahi ziangalia.

Hayo mambo matatu juu hapo baada ya kuachana nayo hali ilianza kurudi kawaida maana kabla kuna muda unapiga hata saa moja na nusu na bao halitoki au mpaka uvute hisia kwa pisi nyingine au picha za ngono na ukiwaeleza watu wanaona unawadanganya tu hawana msaada.
Mkuu. Wewe upo smart sana. Nafurahi bado kuna watu wachache wenye uelewa na akili kama wewe JF. Kegel nimekuwa nikifanya na pia hiyo ya kubana hata bao lisitoke nimekuwa nikifanya. Na ni kweli ukitia nje ukarudisha au ukakojoa kidogo.. mashine kuja kupata hisia za kumaliza si leo. Inabaki imesimama ila you dont feel anything. Unaweza tumia hata dk 30 mpaka saa zima.

Inawezekana hiyo imeniathiri. Haya mambo yanakuwa kisaikolojia pia. So nakubaliana na ulichosema pia. Natamani nirudi normal maana sasa inakuwa changamoto mwingine anadhani unamkomoa. Kumbe sivyo.
 


BT.jpg
 
Mwanamke ni Mgumu sana kufika kileleni kuliko Mwanaume. hasa kuanzia Bao la 3+, Sasa umesema Mwanamke kafika Bao 5.. wewe ndio kwanza una Bao 1 ambalo umelipata ndan ya dk 40.

swali huyo mwanamke alikuwa anaenda Bao moja kila baada ya dakika 7?

Naomba niongezee kijiko kimoja cha Sukari..

Ahsante.
Halafu huyo huyo mwanamke anayeenda bao 5 ndani ya dakika 40 anasema kwamba anamkomoa hahaaaa.
 
Tangu nimeacha pombe hali hii hua inanipata mara nyingi sana na mm hua nafikiri nina tatizo
 
Hisia zako zipo kwingine, huenda kinyume na maumbile , jinsia moja au punyeto, au unaotoka nao hawakuvutii unaforce kwakuwa ndio level unaona unaimudu kuipata
 
Back
Top Bottom