Nadhani nimepata Changamoto labda kisaikolojia au kiafya. Napofanya tendo

Huenda unakamia sana ama ulikuwa mpiga mgalala siku nyingi,au unatembea na mtu usiyempenda.
Hivo unafanya sex wkt hauna hisia.

Kama hivo havipo muone daktar
 
Huenda unakamia sana ama ulikuwa mpiga mgalala siku nyingi,au unatembea na mtu usiyempenda.
Hivo unafanya sex wkt hauna hisia.

Kama hivo havipo muone daktar
Hisia zipo ndiyo maana nanii inasimama. Otherwise najijua isingekuwa inasimama.hisia zipo sana. Kumpenda mhusika kupo sababu mbali na hapo huwa sina sababu ya kufanya mapenzi na mwanamke.
 
Lazima aone kama unamkomoa au umempakia vitu ili uchelewe kumwaga na muda wote anauliza humalizi mpaka inakua kero unaamua uachane nae tu. Kama mwanamke wako muelewa muelekeze ili ukimuhitaji asiwe anapiga piga chenga kipindi unajitibia.

Muhimu kula vyakula vinavyozalisha mbegu kwa wingi ili uwe na hisia za kutaka tendo mara kwa mara inasaidia kurudisha hali yako kwa muda mfupi maana kidumu kikijaa sana ni rahisi kuwahi kumwaga kuliko zikiwa chache utatumia siku nyingi zaidi mpaka hali irudi kwenye msitari maana lazima urudie tendo mara kwa mara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…