Nadhani Wizara ya Afya wako sahihi kusema tutumie dawa yenye vitunguu swaumu kupambana na korona

Nadhani Wizara ya Afya wako sahihi kusema tutumie dawa yenye vitunguu swaumu kupambana na korona

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Nimesoma sehemu kuwa miili ya watu wengi waliokufa korona imekutwa na damu ikiwa imeganda kwenye mishipa midogomidogo ya damu na kuiziba (thromoembolism). Wamesema hii ni moja ya complication ya korona.

Sasa kitunguu swaumu kina tabia ya kufanya damu iwe nyepesi na isigande kirahisi. Naona ule mchanganyiko ni sahihi kabisa kuwa na vitungu saumu.

Tuendelee kujifukiza.
 
Kitunguu kifanya kazi zote za kushusha na kupandisha presha! Kwa ufupi inamaintain presha kuwa kwenye standard.

Yaaani kama unatatizo LA presha ya kupanda ukitumia Kitunguu inashusha kwenye kawaida yake na kama una Presha ya kushuka ukitumia kitunguu inapandisha na kuwa katika hali ya kawaida.
usile kwa wingi. angalau punje 4 kwa siku maana kama unatatizo la low pressure itakuwa tabu maana vitunguu vinashusha pressure
 
Kumbe wale doctors wa Italia Walikuwa sahihi katika utafiti wao na postmoterm waliofanya kwenye mauti za Corona.Walisema Corona haisababishwi na virus.Ila Ni bacteria wanaozalishwa wakati wa "mapambano kati ya mionzi inayotokana kwenye internate ya 5G na bacteria wa ulinzi(Kinga) waliopo kwenye mwili wa mwanadamu".Hawa bacteria wapya waliozalishwa wanafanya damu kuganda kwenye mishipa ya damu,Kama mwili wako una Kinga ndogo(low imune system)na matokeo yake Ni oxygen kushindwa kusafirishwa kwenda kwenye mapafu na ubongo na matokeo mtu hawezi kupumua maana mapafu yamekosa oxygen.Mwisho wake Ni kufa.kwa Hiyo tunapotumia mchanganyiko wa tangawizi,limao,na kitunguu swaumu kwa pamoja(vyote hivi huwa vinazuia damu kuganda) tunakuwa tunajitibia Corona.
 
Kumbe wale doctors wa Italia Walikuwa sahihi katika utafiti wao na postmoterm waliofanya kwenye mauti za Corona.Walisema Corona haisababishwi na virus.Ila Ni bacteria wanaozalishwa wakati wa "mapambano kati ya mionzi inayotokana kwenye internate ya 5G na bacteria wa ulinzi(Kinga) waliopo kwenye mwili wa mwanadamu".Hawa bacteria wapya waliozalishwa wanafanya damu kuganda kwenye mishipa ya damu,Kama mwili wako una Kinga ndogo(low imune system)na matokeo yake Ni oxygen kushindwa kusafirishwa kwenda kwenye mapafu na ubongo na matokeo mtu hawezi kupumua maana mapafu yamekosa oxygen.Mwisho wake Ni kufa.kwa Hiyo tunapotumia mchanganyiko wa tangawizi,limao,na kitunguu swaumu kwa pamoja(vyote hivi huwa vinazuia damu kuganda) tunakuwa tunajitibia Corona.
Bonasera.....
Yap tulikuwa sahihi kabisa.....
sasa hv mnapaswa kula vyakula vyenye nyuzi nyuzi (ufumwele) hivi vinasaidia damu kuwa nyepesi/ blood thinner endeleeni kula vyakula vyenye vitamin c kwa wingi na mazoezi pia Vella pelle
 
Unameza au unatafuna
Kitunguu kifanya kazi zote za kushusha na kupandisha presha! Kwa ufupi inamaintain presha kuwa kwenye standard.
Yaaani kama unatatizo LA presha ya kupanda ukitumia Kitunguu inashusha kwenye kawaida yake na kama una Presha ya kushuka ukitumia kitunguu inapandisha na kuwa katika hali ya kawaid
 
Nijifinza kuwa kujifukiza wakati tayari wale uhonjwa imeshakushambilia haisaidii
 
Back
Top Bottom