Nadharia ya miaka 1,000 duniani ni sawa na siku moja mbinguni si sahihi kabisa


Nafikiri umerukia mbali sana ungetuliza akili yako ukaanzia ktk maneno ya Mungu yaliomo ktk vitabu vya dini anaposema ameumba Dunia na vyote vilivyomo kwa muda wa siku sita, ukituliza akili hapo utapata jibu la siku moja kwa Mungu ni miaka 1000 ya duniani
 
So aliumba dunia kwa siku sita za duniani au siku sita za mbinguni ambapo ni sawa na miaka 6000 ?
 
Bado sijakupata wamaanisha nini hasa
 
Bado sijakupata wamaanisha nini hasa
KWAIYO SWALA LA SIKU MOJA NI SAWA NA MIAKA ELFU NI SAWA.....SIKU MOJA MBAYO WEWE SISI TUNASEMA KUZAMA KWA JUA NA KUCHOMAZA ..NA SIO MAJIRA YA SAA ILIYOKIGANYANI MWAKO WALA ILIYO YA ATOMIC NI KWELI KABISA KWA MAAANA UFAHAMU A MWANADAMU HAUWEZ KUCHAMBUA YALIYO KATIKA HEAVEN KINGDOM..

.....

NIKURAHISISHIE UKIWA DUNIAN ..SIKU MOJA NDIO MAANA YAKE NINI????
 
Anaposema Mungu amefanya jambo fulani kwa muda fulani, hiyo ni kwa hesabu zake yeye za Mbunguni sio za duniani
Anaposema hivo basi ni kwa hesabu za duniani ili msichangnyikiwe, kwake hakuna muda
 
Anaposema hivo basi ni kwa hesabu za duniani ili msichangnyikiwe, kwake hakuna muda

Tumia akili kidogo unaposema kwa Mungu hakuna Muda unamaanisha nini, kama ingekuwa hakuna muda ameuazishaje muda ? wewe umefahamu kitu muda kutoka wapi? (I mean initially)
 
Tumia akili kidogo unaposema kwa Mungu hakuna Muda unamaanisha nini, kama ingekuwa hakuna muda ameuazishaje muda ? wewe umefahamu kitu muda kutoka wapi? (I mean initially)
heheee fact yako nyepesi mno.. kwahiyo unataka kusema Mungu hawezi anzisha kitu ambacho mbinguni hakipo, so tunakufa kwakua mbinguni kuna vifo, mbinguni kuna jua na mwezi right?
 
heheee fact yako nyepesi mno.. kwahiyo unataka kusema Mungu hawezi anzisha kitu ambacho mbinguni hakipo, so tunakufa kwakua mbinguni kuna vifo, mbinguni kuna jua na mwezi right?

Nafikir unapata tabu hujuwi maana ya muda na akili yako imeganda ktk usiku na mchana ndio muda, na huelewi hata hapa duniani kunasehemu kama za north pole wapo watu hawajui usiku nini, sasa utsema aje hawana muda,?

Halafu neno kufa pia hujui maana yake, hata viumbe wa mbuguni siku yao ikifika watakufa, kila nafsi itaonja umauti, nafsi zilizopo mbinguni na aridhini, sijui kama ulikuwa unalielewa hilo.
 
Mmmmh.
Hapa umenivuruga completely mkuu.
Kwa kusema hata vya mbinguni vitakufa.
 
Nitarejea badae nitoe na mie ufafanuzi juu ya hili nw naandaa desa la kuja ku comment hapa
 
Papaayenga haya nafikiri unamwandikia mkuu Da vinc. Mimi siye mwenye mada bali ni mchangiaji tu.

Kilichonichanganye kwenye post tangu ni mchangiaji mmoja tena mtu anaeonekana wa ufahamu wa juu sana katika masuala ya kiroho kudai kuwa kwa andiko la kila nafsi itaonja mauti linajumuisha na hata nafsi za walioko mbinguni kwamba nao watakufa.

Hapa ndipo nilipochanganyikiwa maana kwa uelewa wangu nilidhani kwamba kuna viumbe wa kimbingu ambao they are not subjected to death. Mfano malaika wateule, wenye uhai wanne nk.

Nafahamu kuwa hawa hawajawahi kuanguka wala kuwa na miili ya kifo (flesh)'
Kama vipi mkuu hebu toa uelewa wako katika hili.
 
Oooh kumbe ni wewe papaayenga ulietoa hili wazo. Sasa sijajua ni kwa mujibu wa Quran au bible.
 
Hiyo ndio kanuni kila kilocho hai lazime kife, we hukusoma shule kanuni hii
Ninachofahamu ni kwamba kuna viumbe vilivyo chini ya sheria(kanuni) hasa vya kimwili ndio hufa lakini kuna vingine viko juu ya kanuni za maumbile hasa vya kiroho hivi havifi.
Biblia haijasema kuwa kila nafsi itakufa bali kwamba nafsi itendayo dhambi ndio itakayokufa.
 

Humo hamna kanuni ya maumbile, utapata tabu sana kuelewa unaposema Roho unaelewa maana yake? Roho nini ? Na nini kinachokufa kati ya roho na mwili, neno Roho limetokana na lugha ipi? Je roho inaweza ku exist bila mwili?
Nipe tofauti kati ya Nafsi na Roho
 
Roho ni nguvu ya uhai ya kila kiumbe hai kwa maana kwamba kila kiumbe hai kina roho ya uhai ila sii viumbe wote hai wenye nafsi. Nafsi ni utu.

Kuhusu miili ni kwamba kila kiumbe kina mwili iwe ni cha kimwili ama ni cha kiroho na miili hii inatofautiana kifahari kulingana na status yake
 
Post ya 100 hii katika uzi huu.

Bado nakubaliana na dhana ya Biblia na Qur'an.

Nikipata muda nitaelezea kwa nini huku nikijikita kwenye hoja hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…