Jitu lenye roho mbaya kama Barbarossa ataua wasafiri woteNaskia harufu ya kafara(wazeewa mahiriziviunoni)
hahahaha lmaoWanaoshuka njiani unawachukua???
Wabongo bhana hatuaminiani ata kidogoHaujui wabongo wewe.
Hapa mtu atajifanya ndiye msafiri kisha anaenda mtaani anamtafuta mtu anayesafiri kwenda kenya anampiga 50000.
Na maelezo anamwambia kuna dereva wangu namwagiza kwenda Kenya. Wewe huyo abiria akishakuja wala hamuulizani masuala ya pesa utakuja kujua baadae au usijue.
Mission ya kumalisaaa lisuu au kumpa pole??Unakwenda kumalizia ile mission iliyofeli kule Dodoma???
Beba mguu wa kuku anko hao majitu yanaweza kukubadilikia yakakupora hata kukutoa roho ...usiwachukulie ka watu hao bora ubebe msomali sio mkenya anda all the best kwa safar bt jihadhali sanaWakenya wanaotaka kurudi kwao wanaweza kuwasiliana nami, naanzia Dar, hivyo kama uko hayo maeneo na ungependa ride ya kurudi home nijulishe, kama uko Moshi, Arusha mpaka Namanga kama bado nafasi zipo nitakuchukuwa pia!
Naanza safari Jumamosi hii, saa 11 alfajiri napita Ubungo, hakuna malipo ila chakula na hela ya choo juu yako!
Nina VW Sharan ya bluu, Ubungo Kituo cha Mabasi, ...
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Naskia harufu ya kafara(wazeewa mahiriziviunoni)
Daaaaah!! Mkuu umeandika mulemule kama nilivyokuwa nafikiria..Unakwenda kumalizia ile mission iliyofeli kule Dodoma???
Kwani Dodoma kilishindikana kipi??Mission ya kumalisaaa lisuu au kumpa pole??
Roho mbaya za majitu ya CCM naifahamuDaaaaah!! Mkuu umeandika mulemule kama nilivyokuwa nafikiria..