Naelekea Kenya Ijumaa, anayetaka lifti!

Naelekea Kenya Ijumaa, anayetaka lifti!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Wakenya wanaotaka kurudi kwao wanaweza kuwasiliana nami, naanzia Dar, hivyo kama uko hayo maeneo na ungependa ride ya kurudi home nijulishe, kama uko Moshi, Arusha mpaka Namanga kama bado nafasi zipo nitakuchukuwa pia!

Naanza safari Ijumaa hii, saa 11 alfajiri napita Ubungo, hakuna malipo ila chakula na hela ya choo juu yako!

Nina VW Sharan ya bluu, Ubungo Kituo cha Mabasi, ...
 
Haujui wabongo wewe.

Hapa mtu atajifanya ndiye msafiri kisha anaenda mtaani anamtafuta mtu anayesafiri kwenda kenya anampiga 50000.

Na maelezo anamwambia kuna dereva wangu namwagiza kwenda Kenya. Wewe huyo abiria akishakuja wala hamuulizani masuala ya pesa utakuja kujua baadae au usijue.
Wabongo bhana hatuaminiani ata kidogo
 
wanataman rifti..tatzo hujasema kama humo njiani utawalisha pia au laaa.....vyuma baba!!!!
 
Wakenya wanaotaka kurudi kwao wanaweza kuwasiliana nami, naanzia Dar, hivyo kama uko hayo maeneo na ungependa ride ya kurudi home nijulishe, kama uko Moshi, Arusha mpaka Namanga kama bado nafasi zipo nitakuchukuwa pia!

Naanza safari Jumamosi hii, saa 11 alfajiri napita Ubungo, hakuna malipo ila chakula na hela ya choo juu yako!

Nina VW Sharan ya bluu, Ubungo Kituo cha Mabasi, ...
Beba mguu wa kuku anko hao majitu yanaweza kukubadilikia yakakupora hata kukutoa roho ...usiwachukulie ka watu hao bora ubebe msomali sio mkenya anda all the best kwa safar bt jihadhali sana
 
Back
Top Bottom