Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Wakenya wanaotaka kurudi kwao wanaweza kuwasiliana nami, naanzia Dar, hivyo kama uko hayo maeneo na ungependa ride ya kurudi home nijulishe, kama uko Moshi, Arusha mpaka Namanga kama bado nafasi zipo nitakuchukuwa pia!
Naanza safari Ijumaa hii, saa 11 alfajiri napita Ubungo, hakuna malipo ila chakula na hela ya choo juu yako!
Nina VW Sharan ya bluu, Ubungo Kituo cha Mabasi, ...
Naanza safari Ijumaa hii, saa 11 alfajiri napita Ubungo, hakuna malipo ila chakula na hela ya choo juu yako!
Nina VW Sharan ya bluu, Ubungo Kituo cha Mabasi, ...