Pemba wote wanajuana, mgeni unajulikana tu.
Usitongoze tongoze ovyo(muhim sana). Wengi wana mdudu anatoa taarifa kwa ndugu utaijiwa kuadhibiwa au kuozeshwa.
Kuna hadi fumanizi za kupangwa!
Binti, mke,na bibi wanafanana kwa sabab ya maumbo, uvaaji na salaam, hivyo usisimamishe holela jinsia ya kike sehem za wazi hata kama unaulizia huduma za kijamii. Tumia wanaume.
Penda kutembea na mwenyeji.
Vaa kwa namna ambayo dini yako haitatanabaishwa haraka endapo we si muisram.
....................karibu Gando