Naenda Dar kununua pikipiki used mbagala zakhiem nina kesh ya 1.2m

Naenda Dar kununua pikipiki used mbagala zakhiem nina kesh ya 1.2m

Habari zake Sina mkuu, hata kumwona sura sijawahi, nilipewa no take Kama wewe akanisafirishia mzigo kutoka dsm Hadi dodoma, Mimi nilikuwa dodoma nilinunua bidhaa dsm
Asije nitapeli
 
Wakuu msaada kwa wazoefu wa dar tafadhali kuna jamaa najiita mwanapunda org. Ni kampuni maaulumu ya kuuza na kununua pikipiki. Kuna chuma 1 inauzwa m. 1 nimeona kunitumia wanaweza nibadilishia pikipiki.

Kimbembe wakati wa kurudi nisaidieni usafiri mzuri wa kuipakilisha pikipiki yangu TVS. Wajuzi wa kago tafadhali kesho natakiwa kurudi iringa.
Tuseme iringa nzima umekosa pikpik ya bei hiyo? Au unataka ukaibiwe?
 
Hapo kama ilikua na tairi mpya anaipeleka kwa fundi wanaifungia tairi zilizoisha zile nzuri zinawekwa pembeni kutafutiwa wateja, injini tukikosa iliyo choka choka ndo tutakuachia hiyo nzuri kishingo upande
 
Huu umafia
Hapo kama ilikua na tairi mpya anaipeleka kwa fundi wanaifungia tairi zilizoisha zile nzuri zinawekwa pembeni kutafutiwa wateja, injini tukikosa iliyo choka choka ndo tutakuachia hiyo nzuri kishingo upande
umafia naupata sana, siwez lipia kitu kibovu
 
Back
Top Bottom