nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
- Thread starter
- #41
Huna akiliDogo njoo Dar tukutoboe spika hiyo. Inaonekana Una wenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akiliDogo njoo Dar tukutoboe spika hiyo. Inaonekana Una wenge
Nina ghetto fresh. Self contained.Huna akili
Uko wapiMkuu vip?
Tukutuku ya wizi na dereva aliuliwaOn how
Kweli mkuu kuna mwingine analia humu kwa simu ya kuokota vya karibu na bure vina gharama asije akanunua kesi ya mtu alisha nyang'anywa UhaiAngalia usije nunua murder case!
Basi utumiege njia hiyo hiyo uliotumiaga ulipoendagaUsijali nishawai endaga
TVS unaisafirisha kwa lori! Anza safari saa 10 alfajiri saa 1:30 uko Morogoro, saa 4:00 uko Mikumi mjini. Saa 7:00 uko Kitonga, hapa hauna deni umemaliza milima yote Iringa hiyoo! Unapiga mdogomdogo unabeba abiria wanaoelekea upande wa Iringa tu mpaka maeneo ya Ilula unamtafute Rasta akuchekie oili ukiweza mwaga yote weka mpya, hapo sasa taratibu hakikisha saa 1:30 unaingia Iringa giza watu wasikuone wasije wakakuroga uwashitukize asubuhi unakisafisha na kukipiga polishi, mwisho unamalizia kwa kukikamulia ulanzi mkangafu kukipongeza kwa ujasiri wake na uaminifu kwa kukufikisha salama.Sasa nikinunua pikipiki zakhiem napakilisha wap
Mmm! Wewe jirani yangu tangu lini unayo pikipiki! Muwe na imani wizi mbaya kaka.Lete hiyo Hela nikuuzie sanlg langu lipo nzima Haina mawaaa
Unapata fresh,pale opposite na eneo la TPDF,wanauza pikipiki kuanzia laki 3Wakuu msaada kwa wazoefu wa dar tafadhali kuna jamaa najiita mwanapunda org. Ni kampuni maaulumu ya kuuza na kununua pikipiki. Kuna chuma 1 inauzwa m. 1 nimeona kunitumia wanaweza nibadilishia pikipiki.
Kimbembe wakati wa kurudi nisaidieni usafiri mzuri wa kuipakilisha pikipiki yangu TVS. Wajuzi wa kago tafadhali kesho natakiwa kurudi iringa.
Mmh yaan mumuibie na kumpelekea na moto tenaDogo njoo Dar tukutoboe spika hiyo. Inaonekana Una wenge
Maeneo gani mkuuUnapata fresh,pale opposite na eneo la TPDF,wanauza pikipiki kuanzia laki 3
We uko wapi mkuuUkifika hapa Kwa Aziz Ally unichek nikupeleke
ShukuraniKila la kheri
Bei gani tafadhaliMimi mwenyewe nilinunua pikipiki used Gongo la mboto.