Naenda Dar kununua pikipiki used mbagala zakhiem nina kesh ya 1.2m

Naenda Dar kununua pikipiki used mbagala zakhiem nina kesh ya 1.2m

Sasa nikinunua pikipiki zakhiem napakilisha wap
TVS unaisafirisha kwa lori! Anza safari saa 10 alfajiri saa 1:30 uko Morogoro, saa 4:00 uko Mikumi mjini. Saa 7:00 uko Kitonga, hapa hauna deni umemaliza milima yote Iringa hiyoo! Unapiga mdogomdogo unabeba abiria wanaoelekea upande wa Iringa tu mpaka maeneo ya Ilula unamtafute Rasta akuchekie oili ukiweza mwaga yote weka mpya, hapo sasa taratibu hakikisha saa 1:30 unaingia Iringa giza watu wasikuone wasije wakakuroga uwashitukize asubuhi unakisafisha na kukipiga polishi, mwisho unamalizia kwa kukikamulia ulanzi mkangafu kukipongeza kwa ujasiri wake na uaminifu kwa kukufikisha salama.
 
Siku hizi huduma za LATRA kwa pikipiki na Bajaji ni online (kama ilivyo kwa Magari) hupati huduma kama una kadi FEKI maana mfumo umeunganishwa na TRA, Dar ujanja ni mwingi but kila lakheri.
 
Wakuu msaada kwa wazoefu wa dar tafadhali kuna jamaa najiita mwanapunda org. Ni kampuni maaulumu ya kuuza na kununua pikipiki. Kuna chuma 1 inauzwa m. 1 nimeona kunitumia wanaweza nibadilishia pikipiki.

Kimbembe wakati wa kurudi nisaidieni usafiri mzuri wa kuipakilisha pikipiki yangu TVS. Wajuzi wa kago tafadhali kesho natakiwa kurudi iringa.
Unapata fresh,pale opposite na eneo la TPDF,wanauza pikipiki kuanzia laki 3
 
Kuwa extra careful 😃 ukiweza nenda na raia wengine kama wanne hivi 😃 just incase
 
Back
Top Bottom