nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
- Thread starter
-
- #21
Asije nitapeliHabari zake Sina mkuu, hata kumwona sura sijawahi, nilipewa no take Kama wewe akanisafirishia mzigo kutoka dsm Hadi dodoma, Mimi nilikuwa dodoma nilinunua bidhaa dsm
Tuseme iringa nzima umekosa pikpik ya bei hiyo? Au unataka ukaibiwe?Wakuu msaada kwa wazoefu wa dar tafadhali kuna jamaa najiita mwanapunda org. Ni kampuni maaulumu ya kuuza na kununua pikipiki. Kuna chuma 1 inauzwa m. 1 nimeona kunitumia wanaweza nibadilishia pikipiki.
Kimbembe wakati wa kurudi nisaidieni usafiri mzuri wa kuipakilisha pikipiki yangu TVS. Wajuzi wa kago tafadhali kesho natakiwa kurudi iringa.
Sasa nikinunua pikipiki zakhiem napakilisha wapHapana Kuna magari
Dar bei nafuu mkuu, nilikua na option ya kusafirishiwa lakini nikagairi nafikiri uzi wangu upo tu wazi wazi nimeeleza kila kitu.Tuseme iringa nzima umekosa pikpik ya bei hiyo? Au unataka ukaibiwe?
Unaendeshwa Hadi keko mbona jirani?Sasa nikinunua pikipiki zakhiem napakilisha wap
Ananiendesha nani? Vip akija nichenjia njiani vip kuhus usalama wangu?Unaendeshwa Hadi keko mbona jirani?
All the bestDar bei nafuu mkuu, nilikua na option ya kusafirishiwa lakini nikagairi nafikiri uzi wangu upo tu wazi wazi nimeeleza kila kitu.
No, shidaAll the best
Lete hiyo Hela nikuuzie sanlg langu lipo nzima Haina mawaaaUsijali nishawai endaga
Ipost pm niivalue kidogo, sema sanlg hazina sokoLete hiyo Hela nikuuzie sanlg langu lipo nzima Haina mawaaa
On how?Unapigwa
Kusikia Kwa Kenge Mpaka Atoke Damu Puani Na Masikioni
Hapa na picha ukiwa mpya tu Hadi niende nyumbani nipo site Kwa sasaIpost pm niivalue kidogo, sema sanlg hazina soko
Nataka nikupake na mafutaUnataka kunitapeli? Nielekeze hapa mkuu
umafia naupata sana, siwez lipia kitu kibovuHapo kama ilikua na tairi mpya anaipeleka kwa fundi wanaifungia tairi zilizoisha zile nzuri zinawekwa pembeni kutafutiwa wateja, injini tukikosa iliyo choka choka ndo tutakuachia hiyo nzuri kishingo upande
Hapa na picha ukiwa mpya tu Hadi niende nyumbani nipo site Kwa
sasa lini
Dogo njoo Dar tukutoboe spika hiyo. Inaonekana Una wengeSasa nikinunua pikipiki zakhiem napakilisha wap
Mkuu vip?Upo wapi