Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Nchi ngumu hiiHungumalwa ndio wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ngumu hiiHungumalwa ndio wapi?
Wazinzi wana ushirikiano kama wavuta sigara🤣Nenda pale Polombo Inn utakuja kunishukuru baadae.
Ni kwa rehema zake tu ndio tutaupata ufalme wake , yan hata hujatoka kwako umeshawaza jinsi utavyoenda kufanya uzinifu kabla hata ya kutekeleza kilichokupeleka, astaghfirullahWadau Leo nitalala Hungumalwa. Naomba maelekezo lodge au guest yenye pisi kali
Nenda yegela mkuuWadau Leo nitalala Hungumalwa. Naomba maelekezo lodge au guest yenye pisi kali
Kumbe unapajua[emoji16]Ka mji kati ya shinyanga na mwanza
Malando night clubs za kutoshaMwanza bei imesimama. Kuanzia Lodge hadi mabinti. Hapo Hungumalwa kuna hadi demu za afutatu ukijua kucheza na time.
Ndilima hotel,na Kuna loji nyingine imefunguliwa mwaka Jana ,nimeisahau jina,Wadau Leo nitalala Hungumalwa. Naomba maelekezo lodge au guest yenye pisi kali
Yegela ipo adi kunafree WI-FIHapo ni wilaya ya Kwimba, Mwanza. Mdau anauliza Lodge nzuri utasema Hungumalwa ni Manispaa wakati ukishuka tu stand ukiangaza tu unaona lodge ambapo lodge bomba unaweza kuta ipo moja ama mbili
Ndilima motelKuna lodge nzuri pale karibu na stendi upende wa pili wa barabara ni classic kweli kweli
Saivi iyo cha mtoto kuna yegela ni nomaKuna Lodge moja kali sana pale inaitwa Ndilima ipo opposite na stendi, kuhusu wanawake sijui kwakweli
KwimbaNi wapi uko
Hii ipo vizuri pia,ipo mafichonNenda yegela mkuu
We ni mjinga mjinga sana unasema uzinzi sio mzuri hapa unawapa watu njia ya kupata pisi kali wakafanye uzinziBodaboda ndio wanajua pisi zote kali za mtaa, bodaboda ndio makuadi wakuu.
Kupata ni kitu kingine na madhara ni kitu kingine at they're own risk,kwamba ukipenda Sana uzinzi laana ya umasikini haitokuacha.We ni mjinga mjinga sana unasema uzinzi sio mzuri hapa unawapa watu njia ya kupata pisi kali wakafanye uzinzi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nilikuwa nimeandika kwenye separate comment nilivyosoma nikaona umetoa location btn Mwanza na Shinyanga, ikabidi ni-reply kwenye comment yako kama nyongeza kwa kutaja WilayaKwa msafiri amenielewa, maelezo yako yanamfaa mwenyeji kiasi
Nyumbani kwao popoma GENTAMYCINEHungumalwa ndio wapi?
kwamba 9some😂😂😂😂😂Una fail wapi mwanawane, hapo ungeenda kulala zako Mwanza pisi kali za kumwaga, hata ungetaka 9some alafu kesho ukarudi hapo hungumalwa
'Anayekukaza' Kutwa.Nyumbani kwao popoma GENTAMYCINE