Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
😂😂😂Sielewi bwanaWewe ni mchokozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Sielewi bwanaWewe ni mchokozi
Utajua ujui ila wewe ni kachokozi balaaa😂😂😂Sielewi bwana
Ha haa ukiona nakutag ujue NAKUPENDA huwa sitag watu nisiowapendaUtajua ujui ila wewe ni kachokozi balaaa
Haya bwanaHa haa ukiona nakutag ujue NAKUPENDA huwa sitag watu nisiowapenda
Baraghashia ndiyo sahihi.Hivi Ni kibaraghashia au kibagarashia?mbona sielewi Tena?
Akikupaa niite mbwaToa no ya shekh huyoo,achana na maneno ya wajuaji hawaa.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Ok,maana mtaani hawaelewekiBaraghashia ndiyo sahihi.
Camarada umerudi..?Wengi Sana wanafanya Kwa Siri. Ni kawaida kukuta prayer worrier anachale mbichi.
Wanaoenda kanisani wanalogeka na kuhujumika jitahidi Kwa sababu ya mdomo. Ukifunguka mambo yako mapema unakuwa umetoa keys.
Hii ni kanuni.
Nimerudi mkuuCamarada umerudi..?