Dj tunaomba kibao cha 20 percent, tamaa mbaya.Habari wadau, i hope wote mpo poa sana.Mimi ni kijana wa miaka 28,mkazi wa dar es salaam.
Nimekuja humu kuonba muongozo wa kwenda kuoa Tanga,nimeamua kwenda huko kutokana na nimechoka kuishi mwenyewe na mademu huku wa dar naona wazinguaji na mimi binafsi sipendi kusumbuka na kubembeleza sana.Huko tanga sina mwenyeji wala sijui kwa kuanzia.Nina liziko ya wiki kufanikisha hilo.Nipo serious.
Mkuu akamchukue kama chupa ya chai tu!
Ikifika zamu ya wanaotaka kuoa Zanzibar mtaniambia niwape muongozo
Ni sawa lakini sio kwa wiki mkuu.. unawajua hao Wadigo wenyewe vizuri lakiniMimi ni mtu mstaarabu,nitafata taratibu watakazo sema sio kienyeji
Kweli?Asije binti akaolewa kutoka huko halafu akaja kuuza mali zote za kijana wetu toka bara!Maana ninyi kwa kuuzauza tu,mko juu!Ikifika zamu ya wanaotaka kuoa Zanzibar mtaniambia niwape muongozo
Dj tunaomba kibao cha 20 percent, tamaa mbaya.
Ni sawa lakini sio kwa wiki mkuu.. unawajua hao Wadigo wenyewe vizuri lakini
Lakini, ndiyo unapewa ushauri.Usiwe mkali.Mke hanunuliwi kama luninga kwa kuigeuzageuza na kuijaribu kwenye umeme kwa dakika saba tu.Ndio maana nimekuja humu,kitu kama hujui unauliza ujue unaanzia wapi.
[emoji23][emoji23]Ikifika zamu ya wanaotaka kuoa Zanzibar mtaniambia niwape muongozo
Nakushauri kama unakwenda kutembea sawa, ukimaliza likizo lipange hili jambo lako vizuri sasa na ulipe muda usikurupuke mkuu, ukikosea kuchagua mke basi umeharibu mambo mengi ya msingi.Ndio maana nimekuja humu,kitu kama hujui unauliza ujue unaanzia wapi.
Jiandae pumbu zako kuwekwa kwenye kisosi Cha chai mkuu,Kila lakheri.
Nipewe muongozo, nikajichukulie mpemba chapu nimlete Arusha huku akashangae pundamilia. 😂Ikifika zamu ya wanaotaka kuoa Zanzibar mtaniambia niwape muongozo
Jindaye tu ma shughuli, maana wanawake wa huko kwa shughuli kila siku sale za vijora, bethday ndiyo bethday[emoji16][emoji16]
Nikupe namba ya mtu ufikie kwake akitafutie mke uoe chapubAnataka kwa wiki moja apate mke.Hapendi kuwa na matumizi mabaya ya likizo ya wiki moja.Ingawa,hana mwenyeji aendako/hajui aendako.
Nikupe namba ya mtu ufikie kwake akitafutie mke uoe chapub
Hapana.Mpe kijana anayetaka kuoa.Mimi sioi tena.Nilionao wanatosha.Nikupe namba ya mtu ufikie kwake akitafutie mke uoe chapub