Naenda Tanga kuoa

Naenda Tanga kuoa

Yes, ila usimwogope ni mtaalam ila ndio mzee wa kijiji na anajua kila mtu na anaweza kukupa wanadada wakorogwe.kijijini wazuri wenye heshima na wakakupenda kwa moyo ni mtu mzima sana tena haitaji pesa nyingi
Mkuu fanya kunisukumia namba Pm naona umefunga Pm yako.
 
Yes, ila usimwogope ni mtaalam ila ndio mzee wa kijiji na anajua kila mtu na anaweza kukupa wanadada wakorogwe.kijijini wazuri wenye heshima na wakakupenda kwa moyo ni mtu mzima sana tena haitaji pesa nyingi
Mkuu fanya kusukumia namba yake PM, nipo serious sana
 
Mkuu vipi ulifanikiwa? Nipe muongozo na mimi nataka nioe ase niibukie Tanga au mambo siyo mambo?
 
Yes, ila usimwogope ni mtaalam ila ndio mzee wa kijiji na anajua kila mtu na anaweza kukupa wanadada wakorogwe.kijijini wazuri wenye heshima na wakakupenda kwa moyo ni mtu mzima sana tena haitaji pesa nyingi
Nipe namba yake sasa
 
Back
Top Bottom