Naendelea kuimarika na kuachana na mapenzi ya wame wa mtu

Naendelea kuimarika na kuachana na mapenzi ya wame wa mtu

Mawematatu

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
468
Reaction score
608
Niende kwenye mada

Nimekerwa sana na tabia yangu, na naendelea kuomba Mungu nimudi kuepuka mahusiano haya.

Nimefanikiwa kumtaka tukae mbali na mambo ya kipuuzi tuliyoanzana. Wakati wa hagaiko la kuachia hili jambo mapenzi yaliyoumbwa ni kitu kibaya Sana.

Msijaribu hiki kitukiukweli kwann ni ngumu kuacha??? Au kushindwa kuvumilia kurekax ukiachwa, Tena Mali za watu wengine
 
Wanasemaga eti,
Mme wa mtu Ni sumu na maziwa mnayo[emoji4]
 
Niende kwenye mada

Nimekerwa sana na tabia yangu, na naendelea kuomba Mungu nimudi kuepuka mahusiano haya.

Nimefanikiwa kumtaka tukae mbali na mambo ya kipuuzi tuliyoanzana. Wakati wa hagaiko la kuachia hili jambo mapenzi yaliyoumbwa ni kitu kibaya Sana. Msijaribu hiki kitukiukweli kwann ni ngumu kuacha??? Au kushindwa kuvumilia kurekax ukiachwa, Tena Mali za watu wengine

Endelea tu kupiga krosi mama...huwa ndio zinasababisha magoli hizo ☺️
 
Niende kwenye mada

Nimekerwa sana na tabia yangu, na naendelea kuomba Mungu nimudi kuepuka mahusiano haya.

Nimefanikiwa kumtaka tukae mbali na mambo ya kipuuzi tuliyoanzana. Wakati wa hagaiko la kuachia hili jambo mapenzi yaliyoumbwa ni kitu kibaya Sana. Msijaribu hiki kitukiukweli kwann ni ngumu kuacha??? Au kushindwa kuvumilia kurekax ukiachwa, Tena Mali za watu wengine
Hongera kwa kupiga hatua. Mungu akutilie nguvu.
 
Niende kwenye mada

Nimekerwa sana na tabia yangu, na naendelea kuomba Mungu nimudi kuepuka mahusiano haya.

Nimefanikiwa kumtaka tukae mbali na mambo ya kipuuzi tuliyoanzana. Wakati wa hagaiko la kuachia hili jambo mapenzi yaliyoumbwa ni kitu kibaya Sana. Msijaribu hiki kitukiukweli kwann ni ngumu kuacha??? Au kushindwa kuvumilia kurekax ukiachwa, Tena Mali za watu wengine



Hongera Kilaba, wengi wameingia kwenye huo mtego wanatamani kutoka ila wamejikuta wanashindwa sababu

Nafsi yako iko hai, tena imekataa kabisaa kushuhudia na kushikilia mambo yasiyokupa amani


Mathayo 26:41
Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni; roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu.
 
Back
Top Bottom