Siku hizi ume BADILI TABIA sana yani!!shosti achana na huo utamu wa waume zao.
wao wanaburudika na wakwetu na sie ni mwendo wa kukunjwa na vijana wao...single no stresss
Kwahiyo akikuvutia unamtongoza sawakuna wanaume wanavutia buana.
Mambo ya kufa na tai shingoni haweziKwahiyo akikuvutia unamtongoza sawa
Nimevurugwa kwani kidogo....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] BT umevurugwa.....
Ulikuwa kapole sana yani, siku hizi daah![emoji23][emoji23] Itabidi unipe siri ya mabadilikohahah
umeona eeeh
Umenifurahisha sana leosisi tunaowakula ndio tunajua utamu wenu