The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Hapo utakuta ametafuta kimvuli ili apumzike na jua kali baada ya kuendesha Guta lake toka Mabibo mpaka Kariakoo,Achana nae hyo movies zinamuharibu πππ
Utaipata ulipoiwekaWapi karafuu
Na wanao watapiga hesabu hizo hizo za kuwekeza. The circle goes on ...Kwa sisi wana uchumi tunasema hivi $70,000 ni equivalent roughly 150m Tz shilling unauwezo wakupata sehemu kubwa pale postor ukafungua supemarket ya gharama ya 120m ili uzie ma pilot na crew wanao wahi airport na elites wengine kwa siku faida ni 700k to 1m kwa mwezi ni 21m hadi 30m mshahara wa pilot armature ni 2m to 5m kama kabahatika kupata ajira......kwahiyo bora uwekeze hiyo pesa ili usomeshe wanao upilot huo.
ππππ Daah sema mkuu una kumbukumbu sana aisee.Hapo utakuta ametafuta kimvuli ili apumzike na jua kali baada ya kuendesha Guta lake toka Mabibo mpaka Kariakoo,
Katika mapumziko yake hayo ndio akaamua achangie JF kidogo kabla ya kuwahisha mzigo kwa tajiri.
Nakwendaga nayo papaa...Nauli ya basi Dar mpaka Lubumbashi
Ahlan wasalaan, Naomba kumuulizeni ni kiasi gani cha nauli kwa fedha ya kiTanzania. Natanguliza shukran. Najaribu kuweka basi katika kutafuta riziki. Na pia kama kuna changamoto zozote katika njia naomba unijuze. Shukran tena πwww.jamiiforums.com
Kwanini hukwenda na Ndege yako huko Lubumbashi?
π π
Mkuu sio pilot wala Aircraft Eng...nimefanya kazi kama saidia fundi kwenye meli kubwa kwa muda mrefu ila nilisoma Mechanics kwa level ya kawaida hapo Stellenbosch University...mimi pia nilikua natamani kusoma Urubani mwaka 1999 nililipa Ada ilikua rand 10,000 chuo kimoja hapo Pretoria baadae nikapata kazi nikaona bora nifanye kazi tu kuliko kusoma nianze kutafuta kazi tena...hiyo hela ilikua nyingi sana kipindi hicho hawakurudisha hiyo Ada...Mkuu ujawahi kujibu swali langu..
We ni pilot au aircraft eng..?
Asante sana mkuuGharama hizi hapa tusiumize kichwa
Ndio hivyo kama mimi namshauri ikishindikana walau asome huku huku tu bongo aendeshe hutu tundege walau awe amekamilisha ndoto yake kwa sehemu fulani ,hata kama akisema japo kuwa sikuendesha ndege kubwa lakini walau niliitwa pilotNi Pesa ndefu Peasant's Son's & Daughters hawawezi kulipia HIO elimu ya urubani
Sawa mkuu hapo nimekuelewa sana...Mkuu sio pilot wala Aircraft Eng...nimefanya kazi kama saidia fundi kwenye meli kwa muda mrefu ila nilisoma Mechanics kwa level ya kawaida hapo Stellenbosch University...mimi pia nilikua natamani kusoma Urubani mwaka 1999 nililipa Ada ilikua rand 10,000 chuo kimoja hapo Pretoria baadae nikapata kazi nikaona bora nifanye kazi tu kuliko kusoma nianze kutafuta kazi tena...hiyo hela ilikua nyingi sana kipindi hicho hawakurudisha hiyo Ada...
Nipo kwenye kazi nyingine kabisa ila inahusiana na Engine za magari na magari ya kutoka SA na Parts zake..Sawa mkuu hapo nimekuelewa sana...
Bado upo kitengoni lakini... Yaani matengenezo au kazi nyingine kabisa
Ni kweli maana kuna rubani namjua baba ake aliwahi kuwa raia namba 1Ni Pesa ndefu Peasant's Son's & Daughters hawawezi kulipia HIO elimu ya urubani
Safi sana mkuu...Nipo kwenye kazi nyingine kabisa ila inahusiana na Engine za magari na magari ya kutoka SA na Parts zake..
Ukimpa Ford Ranger Raptor tu anaweza kuiwasha asijue taa zipo wapi aje kuzungumzia ndege kweli..Achana nae hyo movies zinamuharibu πππ
Alafu broo anasemaga ndege kubwa hizi ni rahisi sana kuliko hivi vidogo ety.....Ukimpa Ford Ranger Raptor tu anaweza kuiwasha asijue taa zipo wapi aje kuzungumzia ndege kweli..
Mimi naenda SA nilikua na dream hiyo na Ada nilitoka nayo Tanzania nilifatilia sana nilipofika pale nikakutana na kazi na wengi wanaofanya kazi hawana hata Elimu kubwa nikaona nijichanganye na kazi sasa hivi nipo na magari haswa ya Kutoka SA au Mashine Tools...Safi sana mkuu...
Mi kina broo wangu yupo dom hapa ni aircraft eng huwa naingia pale likitokea deal la kupiga rangi hvi vindege vidogo vidogo...
Hivo kuna hint huwa napata pata ambazo kwa huku jf naona mkuu upo deep sana ndo mana nikauliza vile πππ
Hiyo ni kweli kwa sababu ya balance...Alafu broo anasemaga ndege kubwa hizi ni rahisi sana kuliko hivi vidogo ety.....
Hii ipoje mkuu
Safi mkuu.. maokoto kwanza .Mimi naenda SA nilikua na dream hiyo na Ada nilitoka nayo Tanzania nilifatilia sana nilipofika pale nikakutana na kazi na wengi wanaofanya kazi hawana hata Elimu kubwa nikaona nijichanganye na kazi sasa hivi nipo na magari haswa ya Kutoka SA au Mashine Tools...
Wanaotaka ushauri wachukue kwako.Mimi nina taaluma nao kiasi fulani na ndio maana nimekujua hii ni fani yako.Mimi ni Rubani pia.(lakini sija ajiriwa naruka na ndege yangu binafsi)
Kitu cha kwanza amini kwamba unaweza.
Pili ndege ni rahisi kuliko kuendesha Lori.
Mafunzo ni ghali ila kuna njia mbadala....itategemea sehemu ulipo na uwezo wako wafadhili n.k.
1. Afya na utimamu wa akili.
2. Student Pilot license
3. Private Pilot Licence
3. Commercial Pilot License....hapa ndio unaweza kuajiriwa pia kuna vipengele kwa mfano aina ya ndege uliyosomea na masaa ktk Log book
4.Air Transport Pilot License....
Ada yake mtu anaetaka kusoma urubani akunjue Misimbazi mingapi? Swali la MTEGOMimi naenda SA nilikua na dream hiyo na Ada nilitoka nayo Tanzania nilifatilia sana nilipofika pale nikakutana na kazi na wengi wanaofanya kazi hawana hata Elimu kubwa nikaona nijichanganye na kazi sasa hivi nipo na magari haswa ya Kutoka SA au Mashine Tools...
Nikajua labda ishu za mitambo kusema hv vidogo ni manual sana kuliko makubwa yale ambayo ni computer mwanzo mwishoHiyo ni kweli kwa sababu ya balance...