Mwenyezi Mungu akuzidishie ulipopungukiwa. Asante sanaHere is the other one
Hapana ni wewe na pen na akili yakoVp unaruhusiwa kuingia na Calculator ktk chumba cha mtihani ?
Uliomba mkuu?Mi simo
Tuma hapa mkuu nani atajuwa kwani?Nina possible hapa. Ambaye anahitaji aje PM nimtumie.
[emoji23][emoji23]Tuma hapa mkuu nani atajuwa kwani?
Wote tunalitakaNina possible hapa. Ambaye anahitaji aje PM nimtumie.
Tubless ilo zaga kakaNina possible hapa. Ambaye anahitaji aje PM nimtumie.
Daahh, amaa kweli mjini usiposalimia huwezi kuoneshwa machimbo.1.8m
Hivi zile ajira za takukuru mtu wa accounting kama umeitwa inakuaje ?? Na kozi ya accounting haikuwepo pale
Hali sio hali 😄Wakuu eeh Kwemaa😆
Yani mtu achome nauli yake alafu asifanye mtihani kisa mvuaHivi leo wote wamefanyiwa usaili,maana ile mvua,mmmh..