Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Me nafikiri ni nafasi ya kiungo mkabaji. Imagine unatakiwa ukabe, ufanye interception, ufanye blocking, tackling na bado uanzishe mashambulizi kwenda langoni kwa mpinzani wako. Ukizubaa ndio timu inaelemewa.
Kwa upande wako ni nafasi/namba gani ni ngumu kuicheza kwenye football?
Kwa upande wako ni nafasi/namba gani ni ngumu kuicheza kwenye football?