Nafasi ipi ni ngumu kuicheza katika soka?

Nafasi ipi ni ngumu kuicheza katika soka?

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Me nafikiri ni nafasi ya kiungo mkabaji. Imagine unatakiwa ukabe, ufanye interception, ufanye blocking, tackling na bado uanzishe mashambulizi kwenda langoni kwa mpinzani wako. Ukizubaa ndio timu inaelemewa.

Kwa upande wako ni nafasi/namba gani ni ngumu kuicheza kwenye football?
 
Kiungo.

Ukiangalia hata takwimu.

Viungo wanaanzaga kuonekana bora baada ya umri kusogea(late 20 au early 30).

Ni nafasi ambayo inataka mtu awe mzoefu kwanza.

Nafasi kama Winger, FBs, Striker, mara nyingi unakuta hata madogo wa 19, 20 wanakiwasha.

Ambapo kwa upande kwa Viungo ni nadra kukuta anaanza kukiwasha akiwa na umri mdogo.

Baada ya kiungo zinazofuatia ni GKs na CBs.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me nafikiri ni nafasi ya kiungo mkabaji. Imagine unatakiwa ukabe, ufanye interception, ufanye blocking, tackling na bado uanzishe mashambulizi kwenda langoni kwa mpinzani wako. Ukizubaa ndio timu inaelemewa.

Kwa upande wako ni nafasi/namba gani ni ngumu kuicheza kwenye football?
Kipa akiamua kuwakaanga ni dakika moja tu
 
Me nafikiri ni nafasi ya kiungo mkabaji. Imagine unatakiwa ukabe, ufanye interception, ufanye blocking, tackling na bado uanzishe mashambulizi kwenda langoni kwa mpinzani wako. Ukizubaa ndio timu inaelemewa.

Kwa upande wako ni nafasi/namba gani ni ngumu kuicheza kwenye football?
Kipa akiamua kuwakaanga ni dakika moja tu
 
Namba za Muhimu Uwanjani zimegawanyika mafungu 3.ABC.

À. 1- 11.

B. 5, 6,8 9,10.

C. Nafasi ngumu Sana Uwanjani ni 6
CDM, DM,
Nambari sita ndio namba ngumu na Nyeti kulikoni zooote Uwanjani.
Kukaba.
Kunusa hatari.
Kulinda back 4.
Kuanzisha mipira.
Kukaver gaps 2,3,4,5.
Kulazimika kumshambulia timu inapopanda juu.
 
Kwangu kipa ana hali ngumu sana, nje ya uwanja mshangiliaji anateseka sana, wengine msosi haupandi, hata mbususu aniona kinyaa, mbaya zaidi kuna wale wanawabetia wake zao shughuli ipo, wapo wanaojinyonga lakini sijwah siki mchezaji amejinyonga kisa amefungwa Kwa washangiliaji/mashabiki hilo linaonekana ni tukio la kawaida
 
Namba za Muhimu Uwanjani zimegawanyika mafungu 3.ABC.

À. 1- 11.

B. 5, 6,8 9,10.

C. Nafasi ngumu Sana Uwanjani ni 6
CDM, DM,
Nambari sita ndio namba ngumu na Nyeti kulikoni zooote Uwanjani.
Kukaba.
Kunusa hatari.
Kulinda back 4.
Kuanzisha mipira.
Kukaver gaps 2,3,4,5.
Kulazimika kumshambulia timu inapopanda juu.
Claudia Makelele ilikuwa 6 ya ukweli sana. Hivi nchini tuna namba 6 gani wa kigeni anayesumbua?
 
Back
Top Bottom