Turudi pale Rau Madukani
JF-Expert Member
- Jan 16, 2016
- 2,339
- 5,112
Golikipa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasa hii ni kazi ngumu isiyo na malipo🤣🤣🤣🤣Mateso makali sana wakat huo umeshindwa kula unaona wachezaji wanabadilishana jezi
Kwa kutumia principle ya LOGIC nafasi ngumu ni KIPA... watu hawataki kusikia timu imefungwa hata kama wote 10 waliopo uwanjani wamefanya makosa....Me nafikiri ni nafasi ya kiungo mkabaji. Imagine unatakiwa ukabe, ufanye interception, ufanye blocking, tackling na bado uanzishe mashambulizi kwenda langoni kwa mpinzani wako. Ukizubaa ndio timu inaelemewa.
Kwa upande wako ni nafasi/namba gani ni ngumu kuicheza kwenye football?
Nafkiri kukaba siku hz Ni System (Pressing System n Zone playing ) na No.6 anatumika kama Quarter back wa pili zaidi..Me nafikiri ni nafasi ya kiungo mkabaji. Imagine unatakiwa ukabe, ufanye interception, ufanye blocking, tackling na bado uanzishe mashambulizi kwenda langoni kwa mpinzani wako. Ukizubaa ndio timu inaelemewa.
Wengi wanasema no 6.sina hakika sana kama mmecheza mpira mnajua mifumo mbali mbali.nimecheza karibu nambaa zote tu 11.
Zote sawa tu inategemea na mfumo mnaotumia, maelewano yaani kujuliana kitimu n.k
Middle hiyo 6 au 8 ukiijulia unainjoi sana ni namba nyepesi tu.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mshambuliaji. Ukibisha waulize Simba kwa Mzungu wao Dejan
Siku hizi kuna double pivotNamba 6
Aiseeh unaweza kohoa damu.
Hata beki Canavalo alichukua tuzo,viungo akina Zidane,Modric Pavel Nedved wakabebaKazi ngumu kabisa kwenye mpira wa miguu ni kutupia mpira wavuni(kufunga) na huwezi kushinda mechi bila kushinda ndio maana wafungaji wanalipwa pesa nyingi, wanapata umaarufu pamoja na kuchukua tuzo
Fabregas,wilshere,mcOcran,geraldKiungo.
Ukiangalia hata takwimu.
Viungo wanaanzaga kuonekana bora baada ya umri kusogea(late 20 au early 30).
Ni nafasi ambayo inataka mtu awe mzoefu kwanza.
Nafasi kama Winger, FBs, Striker, mara nyingi unakuta hata madogo wa 19, 20 wanakiwasha.
Ambapo kwa upande kwa Viungo ni nadra kukuta anaanza kukiwasha akiwa na umri mdogo.
Baada ya kiungo zinazofuatia ni GKs na CBs.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi wanachukua wafungajiHata beki Canavalo alichukua tuzo,viungo akina Zidane,Modric Pavel Nedved wakabeba