Nafasi ipi ni ngumu kuicheza katika soka?

Nafasi ipi ni ngumu kuicheza katika soka?

Wengi wanasema no 6.sina hakika sana kama mmecheza mpira mnajua mifumo mbali mbali.nimecheza karibu nambaa zote tu 11.
Zote sawa tu inategemea na mfumo mnaotumia, maelewano yaani kujuliana kitimu n.k

Middle hiyo 6 au 8 ukiijulia unainjoi sana ni namba nyepesi tu.
Mpira wa siku hizi fullbacks Wana shida,zamani viungo hasa 6,8,katikati hapo no 10 alikua na kazi sana
 
Nafasi ngumu ni centre forward haswa ukisimama kwenye majukumu ya striker ambapo watu wanahitaji magoli kutoka kwako

[emoji117]chukua hii [emoji116]

kila striker anaweza kua CF ila sio kila CF anaweza kua striker

[emoji115]rudia mara tatu unielewe

maana striker ni special tools ambazo sio kila mchezaji anaweza kua nazo ndo maana dunia ya soka inahangaika sokoni kupata hao watu na ukimpata ni gharama

[emoji115]ugumu wa iyo nafasi ni kwamba unapoitumikia una unalipa mgongo goli la timu pinzani na ukipokea mpira unatakiwa ku turn haraka

izo mbio unapoelekea kuna vigingi vya CB na bado kuna kipa na unatakiwa kutikisa wavu

lakini kama haitoshi una kazi ya ku create chances panapowezekana ikiwa wenzio wapo kwenye maeno sahihi

ugumu kisaikolojia [emoji116]

ukishidwa kuwapa watu kitu walichotaraji unaanza kuandamwa na kuoneka hufai yani ww ndio tatizo la timu
 
Hii inanikumbusha kuna siku nilikua na makamanda "Jwtz", sasa kila mmoja anasema yeye ni bora kuliko wengine [emoji1][emoji1][emoji1].
Air Force anasema yeye ni bora, Infantly vivo hivyo, Artillery anakwambia yeye ndiye jeshi, Tank wana majigambo yasiyo na mfanowe ukija Navy hujiita smart soldiers [emoji1][emoji1] nao wanatamba balaaah.
Huo mjadala sikumpata bingwa kwani kila mmoja akikupatia wasifu wake utaona yeye ni bora zaidi ya mwingine.


Sasa ukija uwanjani [emoji848][emoji848][emoji3][emoji1]
 
Fabregas,wilshere,mcOcran,gerald
Kwa mujibu wa Modern football
System matters and anything can be done anywhere on the pitch ndio hushangai mbunifu Liverpool ni TAA

But origin of Creativity in football is role 10 where is always on the zone number 14

These were hardly made but burn naturally with such character

Ever since the modern football deprived such role it has never been able to deprive players with extraordinary talent ie GOAT is always Messi up to now and creative Art is a joy to watch
 
Nafasi ngumu ni centre forward haswa ukisimama kwenye majukumu ya striker ambapo watu wanahitaji magoli kutoka kwako

[emoji117]chukua hii [emoji116]

kila striker anaweza kua CF ila sio kila CF anaweza kua striker

[emoji115]rudia mara tatu unielewe

maana striker ni special tools ambazo sio kila mchezaji anaweza kua nazo ndo maana dunia ya soka inahangaika sokoni kupata hao watu na ukimpata ni gharama

[emoji115]ugumu wa iyo nafasi ni kwamba unapoitumikia una unalipa mgongo goli la timu pinzani na ukipokea mpira unatakiwa ku turn haraka

izo mbio unapoelekea kuna vigingi vya CB na bado kuna kipa na unatakiwa kutikisa wavu

lakini kama haitoshi una kazi ya ku create chances panapowezekana ikiwa wenzio wapo kwenye maeno sahihi

ugumu kisaikolojia [emoji116]

ukishidwa kuwapa watu kitu walichotaraji unaanza kuandamwa na kuoneka hufai yani ww ndio tatizo la timu
Mpaka unacheza hiyo nafasi automatic hivyo vitu vinakuwa rahisi kwako.ukiona kitu chochote ni kigumu jua hakiko kwa ajili yako.suala la kushindwa kufunga , kupenya ngome n.k hutegemea ubora au mipango ya timu pinzani siku hiyo.
 
Kwa mujibu wa Modern football
System matters and anything can be done anywhere on the pitch ndio hushangai mbunifu Liverpool ni TAA

But origin of Creativity in football is role 10 where is always on the zone number 14

These were hardly made but burn naturally with such character

Ever since the modern football deprived such role it has never been able to deprive players with extraordinary talent ie GOAT is always Messi up to now and creative Art is a joy to watch
Viingereza vya nini nasi tu watanganyika!!.. football hubadilika,back four ilibuniwa na wabrazil,siku hizi Kuna back 3
 
Wengi wanasema no 6.sina hakika sana kama mmecheza mpira mnajua mifumo mbali mbali.nimecheza karibu nambaa zote tu 11.
Zote sawa tu inategemea na mfumo mnaotumia, maelewano yaani kujuliana kitimu n.k

Middle hiyo 6 au 8 ukiijulia unainjoi sana ni namba nyepesi tu.

Wanasema namba sita mkuu kwasababu ndio ukweli huo.

Nainaonekana wamecheza hao mpira achana na mpira wa kwenye tv, wa man city,Liverpool.

Kazi kubwa inafanywa na namba 6,ukiwa na namba 6 nzuri wewe mfungaji hauwezi kurudi nyuma kuja kusaidia maana kila wakati mipira utakuwa unaletewa tu.

Kama ungewahi kuwa kocha hata tu timu ya wanafunzi au wafanyakazi au hata kwenye bonanza tu la mpira ndio ungejua au ungekuwa umecheza mpira.

Sita ndio engine ya timu ndio maana wanaongoza kuwa na kadi nyingi sana maana wao wanakutana na mipira mingi sana anatakiwa azuie na kupandisha timu.

Akiwa anapitwa na kupoteza mipirA lawama zitaanza timu inashambuliwa sana kumbe yeye ndio uchochoro

Watu kusema namba 6, inaonesha mpira wanaujua vizuri sana,6 ndio namba ngumu zaidi kuchezA
 
Classical number 9. Unatakiwa uwe makini sana kujiposition, mpira unaweza kuisha halafu kuna middle ana hattrick wewe uko bila.
 
Mpira ni magoli na anaefunga hua anaupa furaha mchezo wenyewe mashabiki wa timu hiska na wanaoangalia, na mara zote mshambuliaji hupata sifa kede kede.

Pili inaitwa timu kwakua wote waliouwanjani wanategemeana kutengeneza ule umoja na kua wafanisi kila mmoja kwenye idara yake ndo kunaleta matokeo chanya.

Lakini inasemwa kua eneo gumu kiuchezaji uwanjani ni kwenye midfield,kwakua ndio kiunganishi cha kushambulia na kushambulia,hivyo wanaocheza eneo hilo wanakua na majukumu mengi zaidi ya kufanya kuliko wengine.

Kupokea mipira kutoka nyuma na kuitunza,kuanza kutafuta mianya ya kuanza kuwalisha watu wa mbele ambao ni kuanzia kwa ma winger's,strikers,na mpira unapopotea wao ndio hutakiwa kua kikwazo mpira usivuke kwenda kwenye eneo lao la ulinzi.

Kwahiyo ni enei ambalo wahusika wanatakiwa kua pumzi za kutosha na umakini wa hali ya juu ili timu iweze kuukamta mchezo.
 
Namba 6 ni kazi ngumu sana
Nimewahi kucheza 6 na 8 , sita ni ngumu na haina furaha uwanjani maana wewe ni kukaba na kupiga pasi tu.

Ila namba ngumu niliona ni 5. Namba 5 akiwa dhaifu mnafungwa sana.

Na namba 5 wengi huwa ma captain kwa mpira tuliocheza miaka hiyo.
 
Classical number 9. Unatakiwa uwe makini sana kujiposition, mpira unaweza kuisha halafu kuna middle ana hattrick wewe uko bila.

Namba sita akikamatwa hatakuwa anarudi nyuma kusaidia tu,hata akijiposition vipi kazi bure mipira hata retewa
 
Nimewahi kucheza 6 na 8 , sita ni ngumu na haina furaha uwanjani maana wewe ni kukaba na kupiga pasi tu.

Ila namba ngumu niliona ni 5. Namba 5 akiwa dhaifu mnafungwa sana.

Na namba 5 wengi huwa ma captain kwa mpira tuliocheza miaka hiyo.

Hahahah,kabisa mkuu 5 anatakiwa awe mbavu kweli.

Sita akiwa vizuri huyo tano hatasumbuliwa maana sita mipira yote atakuwa anaizuia.
 
Me nafikiri ni nafasi ya kiungo mkabaji. Imagine unatakiwa ukabe, ufanye interception, ufanye blocking, tackling na bado uanzishe mashambulizi kwenda langoni kwa mpinzani wako. Ukizubaa ndio timu inaelemewa.

Kwa upande wako ni nafasi/namba gani ni ngumu kuicheza kwenye football?
mshambuliaji na kiungo mchezeshaji .
team nzima inaweza ikawa sawa lakini mukikosa hawa watu wawili makini imekula kwenu.
 
mnafikiri pale mbele 9 huwa nina kazi nyepesi sio, me huwapa matokeo kenge nyie.
 
Back
Top Bottom