Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Magufuli atakumbukwa kwa hili wazungu washenzi sanaHiyo ndiyo plan yao. Kwanza wanadamu wapunguzwe hadi 500,000,000. Kisha wanaobakia watu wafuatiliwe kwa surveilance saa 24 na wakusanywe kwenye camps eti ili kulinda mazingira. Ni mawazo ambayo mtu akiyasikia atasema: hakuna mtu atakayeamua kufanya hayo. But they are dead serious.
HatariPatent WO / 2020/060606 imetengenezwa na Microsoft Technology Licensing LLC
………
Jina la patent hii kama unavyoona hapo juu ni: “Cryptocurrency system using body activity data"
- Microsoft ni ya bill gate, au sio?
- WO = World Order (yaani New World Order)
- 2020 = ni patent iliyosajiliwa mwaka jana WIPO (World Intellectual Property Organisation)
- 060606 = namba ya patent (666??? - tafakari)
Maana yake ni kuwa huu ni mfumo wa fedha wa kidijitali usiotumia sarafu wala noti tulizozaliwa tukazikuta hadi leo. Ni mfumo unaotumia data zinazotokana na shughuli za mwili.
Kwa maneno mengine, ili ulipwe lazima mfumo upate taarifa toka KWENYE MWILI WAKO kwamba kazi uliyopewa umeifanya KIKAMILIFU.
Shughuli za mwili ni kama zipi?
Ukiingia kwenye link ya documents, hapa:
Utaona documents zinazotoa ufafanuzi mbalimbali. Mojawapo inaitwa: Application body as filed. Ukurasa wa 1-2 (nimeunganisha) zinasema hivi:
Inataja shughuli hizo ni pamoja na:
Kwa hiyo, sensor zikituma taarifa kwamba umetimiza ulichotumwa, pesa inaingizwa kwenye akaunti yako. Kumbuka, pesa hiyo sio noti wala sarafu.
- Brain waves – mawimbi ya ubongo
- Body heat – joto la mwili
Sijui kama uliona post yangu inayohusu video ya World Economic Forum inayosema HUTAMILIKI CHOCHOTE LAKINI UTAKUWA NA FURAHA; ILA UTAFUNGIWA MAHALI NA UTAKUWA UNAFUATILIWA 24/7. (Bofya hapa uisome: Malengo maovu ya wakubwa wa dunia ) – Ndio maana kila mwisho wa post nakwambia “Connect the dots” Usiangalie jambo moja ukaishia kuona hilohilo.
Turudi kwa Geti.
Sasa mwili utatumaje taarifa? Na pesa zitakuwa wapi?
Mkuu wa World Economic Forum ameandika kitabu mwaka jana kinahoitwa: Covid 19: The Great Reset. Kwenye utangulizi anasema:
At the time of writing (June 2020), the pandemic continues to worsen globally. Many of us are pondering when things will return to normal. The short response is: never.Kwamba wengi wanadhani kuwa baada ya korona, tutarudia hali ya zamani. Jibu fupi ni kuwa: sahau.
Kwa hiyo tunakoelekea ni wapi?
Katika kitabu chake Fourth Industrial Revolution uk 12 Schwab anasema hivi:
Maendeleo ya viwanda ya nne ni kuunganisha physical (mfano simu), digital (mfano internet) na biological (mfano mwili).
Hapo ndipo tunapata Internet of Bodies (IoB) – Soma zaidi hapa: The Internet of Bodies is here. This is how it will change our lives
Kumbuka kwenye post nyingine nilikueleza kuwa Bill Gate anashirikiana na WHO ambapo yenye ni mtoaji pesa; anashirikiana na GAVI, na hapo pia amewekeza na bi board member – Connect the dots.
Je, ni wapi ambako wamejikita zaidi hawa watu (geti na gavi) kusambaza hizo chanjo zao kwa sasa? Tazama ramani hii utapata jibu:
HITIMISHO
…………….
- Iko siku utawekewa sensors ndani ya mwili wako.
- Iko siku sarafu na noti zote zitaondolewa ibaki cryptocurrency.
- Utalipwa cryptocurrency pale tu utakapofanya kazi uliyopangiwa.
- Pesa hizo zitakuwa mwilini mwako maana tayari wewe utakuwa sehemu ya Internet of Bodies (IoB)
- Kile kitakachoingizwa mwilini mwako kitakumiliki HADI MAWAZO YAKO.
- Uhuru na utashi na uwewe wako utakuwa ndio umefika MWISHO.
- Utakuwa ni MTUMWA wa wakubwa wa dunia.
NAONGEA KANA KWAMBA NI FUTURE TENSE, BUT IS IT?
Connect the dots.
Katika yote utendayo, MKUMBUKE MUNGU.
UFUNUO 13 IS HERE ALREADY.
Karibu FearlessFighter , Zeus1 , Ndalilo
PATENT WO2020060606 INAPATIKANA HPA:
WO2020060606 CRYPTOCURRENCY SYSTEM USING BODY ACTIVITY DATA
Kwani mtoa uzi amekuambia Kuna mwisho wa Dunia?Huyu mtoa uzi na wale waliotuambia Y2K Ni mwisho wa Dunia ni Ndugu.
Kuingia mwaka 2000 walinifanya nikeshe Kanisani nikisubiria unyakuo wa kwenda mbinguni. Miaka 20+ imekata bado tupo Duniani.
Anatofauti gani na watu waliotunga Y2K ni mwisho wa Dunia????Kwani mtoa uzi amekuambia Kuna mwisho wa Dunia?
Mkuu Chadema nao wanasisitiza chanjo mkuu sasa siju unazungumziaje chama kipiShukrani sana Teleskopu. Ulipo ulimwengu kwa sasa na kule unakoelekea, ni dhahiri tutakuja kujilaumu kurusu chama kuchezea nchi badala ya kufanya mambo ya msingi kwa miaka 60 sasa!
Utu wetu utanyanyasika kwakuwa hatuna maamuzi, tunakosa maamuzi kwakuwa hatuna uwezo wa kifedha, kisayansi na kiteknolojia, na hatuna vyote hivyo kwasababu ya ubinafsi na ulafi. Maendeleo hayawezi kuwa ya mtu au vitu tu, fikra huru na uzalendo ni maendeleo makubwa katika taifa lolote.
Taifa lenye watu wanaojivunia safari za Dubai kama alama ya mafanikio ni hatari kwa ustawi wake.
kausha man usiniongezee mawazodunia iko connected. ukiamua kuacha ni wewe tu lakini ni sawa na msemo wa mbuni kuficha kichwa mchangani mkuu. Utajifariji kwa kuwa huoni, kumbe wenzio wanakuona na wanakutenda ya kutenda.
"......belief cannot be proved but science does."Kuna nadharia za kisayansi na kuna religious belief (mfano pale Revelation 13 inapokuwa quoted). These two things never agree each other sababu belief cannot be proved but science does.
Katika search of information ambayo iko vastly available sababu ya internet, ni muhimu pia kujua information mtu anazosoma na kuzitafsiri yeye mwenyewe basi asitoke nje ya mstari na kufanya unrealistic assumptions and predictions
Tuendelee kula ugali tu sisi huku Afrika hata internet yenye Kasi ya 4G tu Bado ni shida kwenye maeneo mengi
Kiufupi hiyo ni vita ya kibiashara ya wenyewe Kwa wenyewe hata usipate taabu kuumiza kichwa Kwa hizo mambo maana hii Dunia ukiona kitu Hadi wewe wa huku namtumbo umekijua ujue kimekuwa verified hakina madhara
NWO haipo Kama mnavyoifiria Kwa hizo nadharia sababu hii Dunia unayoyasikia na kuyaona Toka huko sio yanayotendwa tunazugwa tu
na itabaki kua Siri mbaka watakapo iverify muda wake wa matumizi ukiisha!
Tutasimamaje na falsafa ya Magufuli wakati maandiko uliyonukuu yamegongelea msumari kwamba huu mkakati wa wakubwa hamna mwenye uwezo wa kupinga na ni lazima huu mkakati utimie?As individuals, kwanza kabisa tujaribu kutafuta taarifa zaidi juu ya kila kitu na sio kuamini tu. Hata haya ya kwangu niliyoandika ni muhimu mtu kujiridhisha badala ya kuamini tu. Kama taifa pia natamani tungefanya vivyo hivyo. Kusema kweli KABISA, kama tungesimama na falsafa ya Magufuli - ya kujiamini, ya kujilinda na ya kuthubutu (ukiacha mapungufu yake kama binadamu) - litakuwa ni jambo kubwa sana.
Tutasimamaje na falsafa ya Magufuli wakati maandiko uliyonukuu yamegongelea msumari kwamba huu mkakati wa wakubwa hamna mwenye uwezo wa kupinga na ni lazima huu mkakati utimie?
Kama unayaamini maandiko, basi tambua hizi ni nyakati za watu kutambulika kama device tu na hakuna upenyo... Ila kama ni mgumumgumu kama mimi mambo kama haya tunayachukulia ni maendeleo ya kizazi kipya.
Tuendelee kula ugali tu sisi huku Afrika hata internet yenye Kasi ya 4G tu Bado ni shida kwenye maeneo mengi
Kiufupi hiyo ni vita ya kibiashara ya wenyewe Kwa wenyewe hata usipate taabu kuumiza kichwa Kwa hizo mambo maana hii Dunia ukiona kitu Hadi wewe wa huku namtumbo umekijua ujue kimekuwa verified hakina madhara
NWO haipo Kama mnavyoifiria Kwa hizo nadharia sababu hii Dunia unayoyasikia na kuyaona Toka huko sio yanayotendwa tunazugwa tu
na itabaki kua Siri mbaka watakapo iverify muda wake wa matumizi ukiisha!
Point yako ni ya msingi Kijana wa jana Kama umesoma post yangu hadi mwisho nimesema USIMSAHAU MUNGU. Hii post sijaiweka in a purely religious way. Lakini ni kweli ultimate solution ni Mungu.Tutasimamaje na falsafa ya Magufuli wakati maandiko uliyonukuu yamegongelea msumari kwamba huu mkakati wa wakubwa hamna mwenye uwezo wa kupinga na ni lazima huu mkakati utimie?
Kama unayaamini maandiko, basi tambua hizi ni nyakati za watu kutambulika kama device tu na hakuna upenyo... Ila kama ni mgumumgumu kama mimi mambo kama haya tunayachukulia ni maendeleo ya kizazi kipya.
Ni kweli Kuna ajenda nyingi za Siri Sana kuihusu hii Dunia na waliipewa maarifa hayo ni kundi dogo Sana,wao wananiita Brotherhood na Wana bloodline Yao ya kipekee na wamepewa nguvu ya kuiendesha Dunia Kwa style wanayoitaka na sisi huku hatuna ubavu wa kuwapinga Kwa sababu tunaishi chini ya mfumo waoView attachment 1928989
Mkuu unadhani logo kama hizi kwenye dola ya kimarekani imewekwa hapo bahati mbaya? haya mambo ni mazito hii dunia inaendeshwa tofauti na wengi tunavyo fikiri tunaongozwa na tusio waona wakiwa na malengo yao.
Wazungu wenyewe wanasema death favours no man kwahiyo kama hizi myths zinaweza kuwa na ukweli wowote basi ata wao hawako salama.Nini kifanyike sasa ili kutatua hilo tatizo? au tusubiri kufa tu?
Suala la Revelation 13 ni belief. Inaweza kuwa verified vipi?"......belief cannot be proved but science does."
Hapana. Belief ni kitu ambacho kimeshakuwa proved na baadhi ya wale wanaokiamini, ila si kwa kutumia njia zinazotumiwa na empirical sayansi; ambayo yenyewe huwa inatunia njia zinazoonekana kwa macho na kushikika kwa mikono.
Ukiona kitu kinaitwa belief jua kuwa kuna watu ambao wameshakithibitisha kuwa kiko hivyo. Vinginevyo kama hakuna mtu ambaye amewahi kukithibistisha, basi hiyo inakuwa siyo belief bali "RUMOURS"
Verification ni namna mambo yanavyoenda mkuu. Jiweke tu kwenye position ya miaka 2000 zamani ambapo jamii ya dunia ilikuwa kwenye rudimentary stage kwelikweli - hakuna simu, hakuna redio, hakuna telescope, hakuna viwanda vikubwa, hakuna injini - lakini mtu mmoja kutoka Galilaya akaandika kwambaSuala la Revelation 13 ni belief. Inaweza kuwa verified vipi?