Kuna majibu mawili --- kama wanadamu, tunatakiwa kuijua na kisha kuikataa mipango ya globalists. Kukataa haimaanishi lazima ushinde, lakini ni heri kushindwa huku ukikataa kukubaliana na uovu kuliko kutega shingo kwa mtu mwovu aliyekusudia kukuangamiza. Ukishatambua kuwa jambo hili si ajenda ya afya bali ni mbinu za globalists, hutakubali. ----------- Lakini kama wafu watarajiwa, mbele yetu tunakabiliwa na MILELE (ETERNITY). Maandiko yameonya kuhusu nyakati hizi na kutuambia nini tufanye. Tukikataa, yaliyo ng'ambo yam mauti sote tunayajua.Nini kifanyike sasa ili kutatua hilo tatizo? au tusubiri kufa tu?
Mkuu sipingani na wewe lakini tafsiri ya Revelation 13 nadhani ndio ninachosema imekaa kiimani zaidi kuliko realization in physical forms.Verification ni namna mambo yanavyoenda mkuu. Jiweke tu kwenye position ya miaka 2000 zamani ambapo jamii ya dunia ilikuwa kwenye rudimentary stage kwelikweli - hakuna simu, hakuna redio, hakuna telescope, hakuna viwanda vikubwa, hakuna injini - lakini mtu mmoja kutoka Galilaya akaandika kwamba
Ufunuo 13.16 Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao; 13.17 tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.---------------- mambo ambayo tunaona yanaiva 2000 years later, ambapo akina bill gate wanafanya haya.
Kwani belief zingine huwa zinakuwa verified vipi? Unless kama unasema kuwa belief haziwezi kuwa verified.Suala la Revelation 13 ni belief. Inaweza kuwa verified vipi?
Tafuta hela wewe
Masikini ndio hufikiria upuuzi km wako na kuwaona matajiri kama mashetani na wapinga kristo