johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sauti yakr ilikuwa iconic.mimi ni UDP ila kati ya wasani wote walioimba izo nyimbo hakuna wa kumfikia R.I.P komba
Kuishtaki ccm kwa takukuru?Takukuru wako wapi mgombea wa ccm ameanza kutoa rushwa wazi
Hata kimaigizo tuKuishtaki ccm kwa takukuru?
Huyo boss wao ajipendiHata kimaigizo tu
Hahahaaaa...... Wewe ni mwananyumbu uliyekatwa mkia!Utalia sana mwananyumbu wewe kwani ccm ni chama dume
Takukuru ipo mfukoni mwake,alafu wanajifanya kutuchezea mazingaombwe ya watia nia wakigawa pipi na kujifanya imewakamata na haiwafikishi mahakamani,huku ikiwaogopa kina Kigwangala .Takukuru wako wapi mgombea wa ccm ameanza kutoa rushwa wazi
CCM ina wanachama zaidi ya milioni 20......wataingia tu!Alafu uchaguz ukiisha show zao wakifanya watakuwa wanaenda wenyewe
Wamejitengenezea zangwe wenyewe
Ova