johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Kwani wewe ni mzima?!Huwa Sina unafiq wa kijinga, kusema kweli kifo Cha mwanaCCM yoyote huwa naona sawa tu.
Rest In Hell Komba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe ni mzima?!Huwa Sina unafiq wa kijinga, kusema kweli kifo Cha mwanaCCM yoyote huwa naona sawa tu.
Rest In Hell Komba.
mrisho mpoto kipindi anaanza muziki enzi za kikwete alitoka kama mwanamziki mwanaharakati, akamuita kikwete mjomba, nyimbo zake zilikuwa za kuwaambia watanzania wajifunge mkanda kiunoni, leo kiko wapi, ni kindakindaki na walio mamlakani,
mrisho mpoto kipindi anaanza muziki enzi za kikwete alitoka kama mwanamziki mwanaharakati, akamuita kikwete mjomba, nyimbo zake zilikuwa za kuwaambia watanzania wajifunge mkanda kiunoni, leo kiko wapi, ni kindakindaki na walio mamlakani,
Wapo!CCM hawatokuja kupata tena Msanii kama Late Komba.
Hapana sijawahi ona CCM wametoa wimbo uliobamba kama Jogoo limeshawika dodoma,nambari waneee eheem,acha waisome namba etc wengi wanaimba cover za komba tu!!Wapo!
Kifo Cha adui yako ni sherehe , kwangu Mimi mwanaCCM yoyote akifa Ni sherehe Kama Osama alivyokufa Marekani watu wakala na kunywa .Kwani wewe ni mzima?!
Hahahaaaa....... Komba tangu anafundisha shule alipenda sana kuwaimbia wanafunzi!Hapana sijawahi ona CCM wametoa wimbo uliobamba kama Jogoo limeshawika dodoma,nambari waneee eheem,acha waisome namba etc wengi wanaimba cover za komba tu!!
Hahahaaaa...... Wewe ni mwananyumbu uliyekatwa mkia!
Wapigie simuTakukuru wako wapi mgombea wa ccm ameanza kutoa rushwa wazi
Wangemuenzi vipi zaidi ya walivyofanya?Hawakumuenzi hata kwenye msiba wake.
[SUB]Njaaa[/SUB]Hawakumuenzi hata kwenye msiba wake.